Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,739
- 5,978
Kile Chama kimepata Katibu mwenye fikra na busara zaidi ya mkubwa wake...
Katibu anawaza yaliyo na hekima ya uongozi zaidi ya aliye juu yake...
Mwenyekiti alifanya uteuzi wa kijana wake ndani ya Chama chake na kumfanya awe mkuu wa mkoa,.. Licha ya watu wengi katika nchi kupiga kelele kwamba uteuzi huu umekua na dosari kutokana na tabia na elimu ya kijana huyu, lakini mwenyekiti alisimamia kwamba ndiye kijana mchapa kazi na msomi kwake....
Kuna mawaziri wameondoka na wengine kuzibwa midomo kbs, kijana amekua anafanya atakacho lkn fikra za mwenyekiti zimeendelea kutoona ubaya na mapungufu ya kijana wake..
Leo Katibu ameiona aibu hii, na haoni shaka kusimama ktk kweli kueleza makosa ya mwenyekiti wake kwamba hakuchagua kijana aliyeandaliwa, mwenye NIDHAMU, UADILIFU NA UAMINIFU wa uongozi...
Hapa tuseme mwenyekiti fikra zake haziwezi kutuongoza, kwani kiongozi Lazima awe Muadilifu, Uadilifu na nidhamu, imekuaje ameleta kijana kimeo na haya yote hayaoni?
Ni aibu kwa mwenyekiti kukaa kimya juu ya kijana wake, na Katibu kuukosoa uteuzi huu,... Sipati picha yangefanyika kwa mkoa mwingine... Hii ni aibu kwa mwenyekiti kwamba, fikra za mwenyekiti hazifai kuungwa mkono tena...
ZIDUMU FIKRA ZA KATIBU WA CHAMA..
Katibu anawaza yaliyo na hekima ya uongozi zaidi ya aliye juu yake...
Mwenyekiti alifanya uteuzi wa kijana wake ndani ya Chama chake na kumfanya awe mkuu wa mkoa,.. Licha ya watu wengi katika nchi kupiga kelele kwamba uteuzi huu umekua na dosari kutokana na tabia na elimu ya kijana huyu, lakini mwenyekiti alisimamia kwamba ndiye kijana mchapa kazi na msomi kwake....
Kuna mawaziri wameondoka na wengine kuzibwa midomo kbs, kijana amekua anafanya atakacho lkn fikra za mwenyekiti zimeendelea kutoona ubaya na mapungufu ya kijana wake..
Leo Katibu ameiona aibu hii, na haoni shaka kusimama ktk kweli kueleza makosa ya mwenyekiti wake kwamba hakuchagua kijana aliyeandaliwa, mwenye NIDHAMU, UADILIFU NA UAMINIFU wa uongozi...
Hapa tuseme mwenyekiti fikra zake haziwezi kutuongoza, kwani kiongozi Lazima awe Muadilifu, Uadilifu na nidhamu, imekuaje ameleta kijana kimeo na haya yote hayaoni?
Ni aibu kwa mwenyekiti kukaa kimya juu ya kijana wake, na Katibu kuukosoa uteuzi huu,... Sipati picha yangefanyika kwa mkoa mwingine... Hii ni aibu kwa mwenyekiti kwamba, fikra za mwenyekiti hazifai kuungwa mkono tena...
ZIDUMU FIKRA ZA KATIBU WA CHAMA..