Ziara ya mama Samiah Suluhu mkoa wa Mara

Ziara ya mama Samiah Suluhu mkoa wa Mara

Huyu si ndo yule mama mhuni anagawa pesa kwenye mikutano yake?
Ccm inasubiri kuzikwa siku 23 zijazo
 
Msafara wa mama samia wazuiwa na.mamia.ya watu😀
 

Attachments

  • 1443797228673.jpg
    1443797228673.jpg
    14.9 KB · Views: 142
Huyu si ndo yule mama mhuni anagawa pesa kwenye mikutano yake?
Ccm inasubiri kuzikwa siku 23 zijazo
[h=3]MKE WA LOWASSA ANAGAWA BAHASHA MCHANA KWEUPEEEE[/h]

12002937_141858362829388_4917786090873154211_n.jpg


Nashangaa sana kuona mnataka watu kuwachangia wakati huyu mama akiendelea kutoa bahasha mitaani pia sera zenu mnasema mabadiliko kila kitu kitakuwa bure kwanini mnatutaka tuchangie?

Lowassa si anasema kuwa kila kitu kitakuwa bure, mbona anachangisha sasa?
 
[h=3]MKE WA LOWASSA ANAGAWA BAHASHA MCHANA KWEUPEEEE[/h]

12002937_141858362829388_4917786090873154211_n.jpg


Nashangaa sana kuona mnataka watu kuwachangia wakati huyu mama akiendelea kutoa bahasha mitaani pia sera zenu mnasema mabadiliko kila kitu kitakuwa bure kwanini mnatutaka tuchangie?

Lowassa si anasema kuwa kila kitu kitakuwa bure, mbona anachangisha sasa?

Poor think ulishaona rushwa inatolewa jukwaani??
Puumbaav. Tumia akili wewe.
 
MKE WA LOWASSA ANAGAWA BAHASHA MCHANA KWEUPEEEE



12002937_141858362829388_4917786090873154211_n.jpg


Nashangaa sana kuona mnataka watu kuwachangia wakati huyu mama akiendelea kutoa bahasha mitaani pia sera zenu mnasema mabadiliko kila kitu kitakuwa bure kwanini mnatutaka tuchangie?

Lowassa si anasema kuwa kila kitu kitakuwa bure, mbona anachangisha sasa?

Nchi hii tumejaliwa kila aina ya rasilimali. Kila kitu kuwa bure inawezekana km chama cha mafisadi wakiondoka madarakani. Inashangaza kuona kuna watu kauzu kiasi cha kutokuamini kuwa mali tuliyonayo sisi sio wa kuona rais anatembeza bakuri kjuomba misaada.
HAPA NI MABADIRIKO TU!!!!!
 
Back
Top Bottom