Waziri Makamba anaonekana akifanya ziara mikoa ya Kanda ya ziwa, akiwa na lengo la kutoa elimu ya nishati.
Lakini ukichunguza vizuri ziara hii ina agenda zaidi ya kinachofanyika.
Ukichunguza vizuri lazima utafahamu lengo la ziara hii ni kujitafutia umaarufu na kujisafisha katika mikoa inakofanyiwa ziara hiyo.
Ukweli ni kuwa huyu bwana na kundi lao linachukiwa sana katika maeneo ya kanda ya ziwa kutokana na rumours za kundi lao kuhusishwa na kifo cha mtoto wa ukanda huo.
Kwakua hawa mabwana ni watu wa timing, ziara hii inafanyika kama njia ya kujisafisha katika kanda hiyo, na reason kubwa ni the fact kwamba ukanda huo kuwa ni ukanda wa kura nyingi.
Ni ngumu kujua alie nyuma ya ziara hii ni nani, sababu Makamba anaonekana kugawa mitungi ya makampuni tofauti tofauti.
Lakini ukichunguza vizuri ziara hii ina agenda zaidi ya kinachofanyika.
Ukichunguza vizuri lazima utafahamu lengo la ziara hii ni kujitafutia umaarufu na kujisafisha katika mikoa inakofanyiwa ziara hiyo.
Ukweli ni kuwa huyu bwana na kundi lao linachukiwa sana katika maeneo ya kanda ya ziwa kutokana na rumours za kundi lao kuhusishwa na kifo cha mtoto wa ukanda huo.
Kwakua hawa mabwana ni watu wa timing, ziara hii inafanyika kama njia ya kujisafisha katika kanda hiyo, na reason kubwa ni the fact kwamba ukanda huo kuwa ni ukanda wa kura nyingi.
Ni ngumu kujua alie nyuma ya ziara hii ni nani, sababu Makamba anaonekana kugawa mitungi ya makampuni tofauti tofauti.

