Ziara binafsi ya Rais Yoel Mseven wa Uganda

Ziara binafsi ya Rais Yoel Mseven wa Uganda

Activist93

Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
19
Reaction score
13
Ni furaha kubwa kwa watanzania kuona Rais wetu akidumisha Upendo,Amani na Mshikamano kwa nchi za afrika mashariki.
Kikubwa ni kujadili Kuhusu mipaka ya ziwa victoria pamoja na ushirikiano katika biashara mbalimbali za kukuza uchumi wa nchi hiz mbili.
IMG_20190716_084234_787.jpeg
IMG_20190716_084234_797.jpeg
IMG_20190716_084234_791.jpeg
ikulu_mawasiliano_7___Bz3YEQMgPlB___.jpeg
ikulu_mawasiliano_4___Bz3YEQMgPlB___.jpeg
 
Ata nyerere kila jmosi alikua butiama semea media zilikua chache na watu wengi wa mukoa wa mara walikuja dar either kwa folker au ndege za jeshi zilizo kua zinaleta mizigo kwa mwalimu jpm yuko sawa.
 
Picha ya kwanza unaweza sema magufuli ndio mgeni Wa Nyumba ya yoweri,,,,,kumbe yeye ndo mwenyeji
 
Mipaka ya ziwa imefutika? Au wanajadili uvuvi
 
Back
Top Bottom