Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Hivi kwann mademu wakali siku hizi ni ngumu Sana kuwapata kwa baadhi ya sisi vijana tusio na hela, nimekuwa nikisoma nyuzi za member mmoja wa humu anajiita Zero IQ, Huyu jamaa anasemaga anawala mademu wakali kila siku jap ni muuza chipsi tu Ila anajipigia watoto wazuri daily, kaka zero IQ mimi mdogo ako natamani Sana Kama una Dawa hau unipe na Mimi mbinu unazotumia kuwala maduu wa High classic
Nawakilisha#
Nawakilisha#