Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 990
- 3,488
Rais wa Ukraine Volodymr Zelensky amesema kuwa mzozo kati ya nchi yake na Urusi hautamalizika hadi pale rasi ya Crimea katika Bahari Nyeusi, ambayo ilikwapuliwa na Moscow, itakapokombolewa.
Katika hotuba yake ya jana usiku, Zelensky amesema Crimea ni Ukraine, na Ukraine haitoiacha ibakie mikononi mwa Urusi.
Crimea imekuwa chini ya udhibiti wa Moscow tangu Urusi ilipoinyakua rasi hiyo mwaka wa 2014.
...................
source: Dw, Reuter
Je itawezekana??
Kwa hali ilivyo siku za usoni naiona Urusi ikiingia makubaliano na Ukraine kusitisha mashambulizi Crimea. Kwa ahadi ya Moscow kuiachia Donbas.
Kupanda mchongoma Kushuka ndio Ngoma.
Katika hotuba yake ya jana usiku, Zelensky amesema Crimea ni Ukraine, na Ukraine haitoiacha ibakie mikononi mwa Urusi.
Crimea imekuwa chini ya udhibiti wa Moscow tangu Urusi ilipoinyakua rasi hiyo mwaka wa 2014.
...................
source: Dw, Reuter
Je itawezekana??
Kwa hali ilivyo siku za usoni naiona Urusi ikiingia makubaliano na Ukraine kusitisha mashambulizi Crimea. Kwa ahadi ya Moscow kuiachia Donbas.
Kupanda mchongoma Kushuka ndio Ngoma.