Jana nimekubali kuwa bila Masanja kama anchor kwenye Ze Komedi show inasuck! Show ya jana ilikuwa mbaya kinoma. Nilikuwa najilazimisha kucheka but sikucheka coz there was nothing to laugh at! Wale waliokuwa wanasoma wanajifanya kuongea viingereza mshenzi ndo walikuwa wanaboooooooooooooooooa! Kwa style ya jana Futuhi iko juu zaidi ya Ze Comedy yenu hiyo.
Jana nimekubali kuwa bila Masanja kama anchor kwenye Ze Komedi show inasuck! Show ya jana ilikuwa mbaya kinoma. Nilikuwa najilazimisha kucheka but sikucheka coz there was nothing to laugh at! Wale waliokuwa wanasoma wanajifanya kuongea viingereza mshenzi ndo walikuwa wanaboooooooooooooooooa! Kwa style ya jana Futuhi iko juu zaidi ya Ze Comedy yenu hiyo.
@ Kigogo: mzee kumbe wewe huwaangaliagi kabisa?
Original comedi,Kwishney kabisaaaaaaaa.Kweli Usitukane wakunga na uzazi ungalipo-sasa ni zamu yao kufulia.
pole sana...kumbe una muda hata wa kuangaliaga hao watu
Laiti mdogo wangu Sekioni angekuwa anapokea Cmu zangu...!!!