charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,987
- 4,409
Wapendwa mu wazima
Hivi karibuni kuna wimbi la watu ambao wana undugu sana na malaika limeibuka. Wao kucha kutwa ni kuwasimanga wanawake waliozaa bila kuolewa (singo mazas) na kuwaona hawastahili katika jamii .
Kwa kawaida binaadamu tuna tabia ya kujifunza kulingana na mazingira na nina uhakika kuna wanawake humu jf wanaogopa hiyo hali. Ndiyo unapaswa kuigopa na kuiepuka sana . Wanaogopa hasa kulingana na mabandiko yanayowekwa humu kila sekunde kuwakashifu wanawake hawa.Nawashauri wanawake wenzangu tujitunze tusiangukie katika hiyo hali lakini pia nikupe onyo
USITOE MIMBA
Nikupe siri hakuna mwanaume hataki kuitwa baba,mwanaume anapokuoa anataka mzae kwasababu WATOTO NI ZAWADI KUBWA MAISHANI.
SASA kama ulipata mimba ukaitoa kwa kuhofia kuitwa singo maza una hatari.Halafu bahati mbaya zaidi takwimu zinasema hali ya uzazi kwa sasa imedrop kutokana na lifestyle ,kazana kutoa sasa siku unataka huzipati hata ugegedwe kichwa chini miguu juu muulize madam.
Na hapo ndoa nayo inaota mbawa ,nani atakutaka umpotezee muda,Mwanamke akili kichwani ,nimekutana sana na wanawake wenye uhitaji wa watoto , ni wazuri, wameolewa,wana pesa lakini humo majumbani wanamoishi sio salama tena ni ulingo wa moto.Tujihadhar jamani lakini tusitoea mimba
Maisha ni zawadi .
Mtoto ni zawadi kubwa maishani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi karibuni kuna wimbi la watu ambao wana undugu sana na malaika limeibuka. Wao kucha kutwa ni kuwasimanga wanawake waliozaa bila kuolewa (singo mazas) na kuwaona hawastahili katika jamii .
Kwa kawaida binaadamu tuna tabia ya kujifunza kulingana na mazingira na nina uhakika kuna wanawake humu jf wanaogopa hiyo hali. Ndiyo unapaswa kuigopa na kuiepuka sana . Wanaogopa hasa kulingana na mabandiko yanayowekwa humu kila sekunde kuwakashifu wanawake hawa.Nawashauri wanawake wenzangu tujitunze tusiangukie katika hiyo hali lakini pia nikupe onyo
USITOE MIMBA
Nikupe siri hakuna mwanaume hataki kuitwa baba,mwanaume anapokuoa anataka mzae kwasababu WATOTO NI ZAWADI KUBWA MAISHANI.
SASA kama ulipata mimba ukaitoa kwa kuhofia kuitwa singo maza una hatari.Halafu bahati mbaya zaidi takwimu zinasema hali ya uzazi kwa sasa imedrop kutokana na lifestyle ,kazana kutoa sasa siku unataka huzipati hata ugegedwe kichwa chini miguu juu muulize madam.
Na hapo ndoa nayo inaota mbawa ,nani atakutaka umpotezee muda,Mwanamke akili kichwani ,nimekutana sana na wanawake wenye uhitaji wa watoto , ni wazuri, wameolewa,wana pesa lakini humo majumbani wanamoishi sio salama tena ni ulingo wa moto.Tujihadhar jamani lakini tusitoea mimba
Maisha ni zawadi .
Mtoto ni zawadi kubwa maishani.
Sent using Jamii Forums mobile app

troublemaker 2019. all right reserved.