Zawadi huzidisha mapenzi

Zawadi huzidisha mapenzi

Hasham007

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
13
Reaction score
2
Habari zenu : kwa wale wote ambao wapo kwenye ndoa licha ya mambo mengi ambayo yatazidisha mapenzi lakini ZAWADI ni kitu muhimmu

Jizoweshe kumchukulia mkeo Zawadi unaporudi kazini : ukitoka tu Mtumie msg au simu umuulize Leo nikuchukulie kitu Zawadi gani ?? Ikiwa unatabia io basi daima utazidisha mapenzi katika ndoa

Je mambo gani mengine ambayo unafikiria yanaweza kuzidisha mapenzi ndani ya ndoa ??? Karibu mchango wako
 
Sio ndoa tu hata uchumba zawadi ni tamuu ukipewa na mpz ni upendo tosha.

Binafsi napenda zawadi kwasababu natoa zawadi tena sana.

Jambo jingine muhimu katika kuzidisha upendo ni "mawasiliano" mjulie mwenzio hali bana, sio unajifanya busy utafikiri hata haja unamtuma ps kwa niaba.
 
Umesema vyema, mambo mengine ambayo nafikiri yanaweza kuzidisha mapenzi ndani ya ndoa ni;-
Ibada
Pesa
Limbwata n.k
Nb:- Ili hayo mapenzi yanayozidishwa Yadumu inahitajika Uvumilivu na Kuheshimiana.
 
Nilipokuwa na ex-wangu kila nikitoka lazima nimuage na kiss, Nikirudi hunikaribisha kwa kiss. Akiwa jikoni hupendelea kumkumbatia na kumpiga kofi la makalio, Wakati wa kuangalia Tv au Movies hulala kifuani kwangu. Na mara nyingi anapenda chocolate kwahio hubadilisha aina mbali mbali za chocolate. Leo ndio naujua umuhimu wake baada ya kuniacha kwa kupenda pombe, Wewe mtoto wa Kispanish mimi tozi25 bado nakupenda mwenzio na pombe nimeshawacha.
 
Lakini kumbukeni na kuwakaza vizuri kitandani ooooh sio vizawadi zawadi Pekee tu wakuu.
 
Hata ukimgegeda vizuri ni zawadi nzuri pia
 
Umesema vyema, mambo mengine ambayo nafikiri yanaweza kuzidisha mapenzi ndani ya ndoa ni;-
Ibada
Pesa
Limbwata n.k
Nb:- Ili hayo mapenzi yanayozidishwa Yadumu inahitajika Uvumilivu na Kuheshimiana.
Hahaha sasa hapo katika limbwataa ..... Limbwata la kurogana au kutoa mambo na mapenzi mubassharaaa
 
Mwanaume Mashine .
Zawadi mpe ww ,mm nitampa zawadi kitandani.
Maisha kusaidia si lazima kufanya kitu mwenyewe,umechagua fungu la zawadi basi toa zawadi ,waache misingi viuno wafanye yao
 
Nilipokuwa na ex-wangu kila nikitoka lazima nimuage na kiss, Nikirudi hunikaribisha kwa kiss. Akiwa jikoni hupendelea kumkumbatia na kumpiga kofi la makalio, Wakati wa kuangalia Tv au Movies hulala kifuani kwangu. Na mara nyingi anapenda chocolate kwahio hubadilisha aina mbali mbali za chocolate. Leo ndio naujua umuhimu wake baada ya kuniacha kwa kupenda pombe, Wewe mtoto wa Kispanish mimi tozi25 bado nakupenda mwenzio na pombe nimeshawacha.
Isn't it too late to catch the train? Huko alipo alikua amekaa tu anakusubiria wewe uache pombe!!!?
 
Habari zenu : kwa wale wote ambao wapo kwenye ndoa licha ya mambo mengi ambayo yatazidisha mapenzi lakini ZAWADI ni kitu muhimmu

Jizoweshe kumchukulia mkeo Zawadi unaporudi kazini : ukitoka tu Mtumie msg au simu umuulize Leo nikuchukulie kitu Zawadi gani ?? Ikiwa unatabia io basi daima utazidisha mapenzi katika ndoa

Je mambo gani mengine ambayo unafikiria yanaweza kuzidisha mapenzi ndani ya ndoa ??? Karibu mchango wako

Nadhani Zawadi ' pekee ' inayomfaa Mpenzi wako ni ' Mkuyenge / Uume ' uliotukuka tu na hivyo vitu vingine ni ' mbwembwe '. Mpe Mpenzi wako ' zawadi ' halafu labda uwe na ' Mkuyenge Bamia ' au ' humtoshelezi ' ipasavyo Kitandani ndipo utajua ni kwanini Nyoka hana Ugoko.
 
Nadhani Zawadi ' pekee ' inayomfaa Mpenzi wako ni ' Mkuyenge / Uume ' uliotukuka tu na hivyo vitu vingine ni ' mbwembwe '. Mpe Mpenzi wako ' zawadi ' halafu labda uwe na ' Mkuyenge Bamia ' au ' humtoshelezi ' ipasavyo Kitandani ndipo utajua ni kwanini Nyoka hana Ugoko.

Hahahahhahaha
 
PESA PESA PESA MASHINE MASHINE MASHINE UPENDO UPENDO UPENDO
 
Back
Top Bottom