Zari punguza "kimuhemuhe"

Fact 💯✅
 
Nawaza hivo hivo, nna pesa nna team ya watoto naolewa kugundua nini sijui
akiolewa atazalishwa Tena..shenz kabisa Huyu mama Ni head master huko LEBA maana kashakua mwenyeji mpk sasa inabidi wampe Cheo tu,,wakunga hawapati shda kabisa zari akiwa anajifungua.

Akiingia zari wakunga wote wako na smart wanaperuzi zao....mwenye leba yake anafanya yake mwanzo mwisho.

Zari Jimama lenye tabia za under 18
 
I never saw Zari akiumia kulea watoto mwenyewe kipindi yupo apart na Ivan, but i see Zari anaumia sana kulea watoto mwenyewe bila DP, this tells me kwamba Zari alimchukulia DP kama destiny wakati DP hata mpango hakuwa nao.. Zari hakuona kitu kilichopo mbele yake, alijitoa yeye na kila kitu chake kwa ajili ya mahusiano yake na DP. Muacheni awehuke siku akipona wehu atatulia alee wanae , at least hakuzaa na makapuku forum teh.

At her age she looks cute, ana watoto, vijisent na viji-investment unashangaa anahangaika nini? Utagundua ni aina ya wale wanawake ambao hawawezi kuishi bila kuona m.b.o.o ndani tena anaonekana anazipenda zile strong strong maana angekuwa mwingine angedate zake mtu mzima mwenzie huko, atampata wapi mtu mzima wakumpandisha uhuru peak heheh? let us not judge her, she is what she is... ila kama anafanya lolote kumkomoa DP hajui tu kuwa our very own ni version nyingine ya devil!.

Huyu mwanamama ukiamua kumpenda mpende tu ila tabia fulani fulani ngumu sana!
 
Acha azaeee kizazi anacho
 
Haya nadhani ndio maisha ya kisasa,inawezekana labda sisi wengine ndio tuko nyuma,tunabakia kumshangaa,ila miaka michache ijayo haya inaonekana yatakuwa ndio maisha ya binadamu wengi,kwani kila mtu nowadays amekuwa akipost kila tukio katika maisha yake ya kila siku kwenye mitandao ya kijamii na hasa Instagram...
 
Zamani nilikuwa nafikiri huyu dada ana akili...kumbe sifuri tupu.......hakuna mwanaume anapenda kuoa mwanamke amezaa watoto watano......labda awe mzee..sio kijana....mtaniambia tumo humu.....
ukiona mwanaume kaoa mwanamke mwenye mtoto kuna sababu kadhaa:
1.na yeye ana mtoto/watoto
2.Baba mtu mzima(umri umeenda)
3.Alishawahi kuoa before ndoa ikamshinda au mke wake alifariki
4.Kama ni Kijana basi anapenda kulelewa

But kwa wanaume ambao hawana sifa hizo hapo juu hakuna anayependa kuoa mwanamke aliyekwisha zalishwa.
 
Zari anaugua matatizo ya akili kwa sasa yanaitwa BIPOLAR DISORDER
Mwanamke mwenye uwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kushinikiza ndoa ili tu kumjambisha ex wake ambae hata shetani hafui dafu
Ndiyo njia pekee ya kumwonyesha kwamba, ukisema cha kazi gani mwenzio anasema atakipata lini.
 
Inasemekana wanawake wambea wambea wana mabwawa yanayotepeta haswa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…