Fact 💯✅Alikua anautafuta umaarufu kwa nguvu zote kaupata...
Na sasa analipa gharama za umaarufu
Anaishi kwa maneno ya watu sio moyo wake.
Kadate mtu maarufu akifungua simu tu anamuona kila siku..lazima aweweseke.
Watu wakisema kafulia anahangaika kufanya manunuzi ya gharama na kuonyesha mitandaoni,wakisema kazeeka anahangaika kuonyesha mwili wake akiwa nusu uchi...
Wakisema oh huolewi tena ndo hivo anahangaika kukioa kiben ten chake awanyamazishe watu.
Ameelemewa na kelele za watu mtandaoni..zinampelekesha
Angeweza kuzihimili angeishi maisha yake bila kuweweseka!
Hakuna cha uadui ukweli umri wake si wakulilia ndoa.Nimepitia comments...
Nazidi kuamini Adui wa mwanamke ni mwanamke.
Nashida na namba ya Zari.Nachompendea Zari halijuagi kukataa mwanaume ukilipandia tu linakupa mzigo kiroho Safi ni kimama huruma.
Nimepitia comments...
Nazidi kuamini Adui wa mwanamke ni mwanamke.
Unafaa sana kuwa psychologist
akiolewa atazalishwa Tena..shenz kabisa Huyu mama Ni head master huko LEBA maana kashakua mwenyeji mpk sasa inabidi wampe Cheo tu,,wakunga hawapati shda kabisa zari akiwa anajifungua.Nawaza hivo hivo, nna pesa nna team ya watoto naolewa kugundua nini sijui
Kama Nawaona mnavomuombea asiolewe mshindweeeHahahahahaha sie yetu macho
Sijamchoka namkubali zari sana tu yani sanaa, ila kwa anachokifanya kwa mtu yeyote yule wala sio lulu mwenyewe na kuweka mambo kwa siri sahivi ndoa kama vile ishapanda bombadia sijui ipo mawinguniUmemchoka Leo unavompenda si bureee
We mbona wema alikua role modo ako sijui hadi sahivi badoHahaaa!,kivipi?team yake wanakuambia role modo
Acha azaeee kizazi anachoakiolewa atazalishwa Tena..shenz kabisa Huyu mama Ni head master huko LEBA maana kashakua mwenyeji mpk sasa inabidi wampe Cheo tu,,wakunga hawapati shda kabisa zari akiwa anajifungua.
Akiingia zari wakunga wote wako na smart wanaperuzi zao....mwenye leba yake anafanya yake mwanzo mwisho.
Zari Jimama lenye tabia za under 18
Haya nadhani ndio maisha ya kisasa,inawezekana labda sisi wengine ndio tuko nyuma,tunabakia kumshangaa,ila miaka michache ijayo haya inaonekana yatakuwa ndio maisha ya binadamu wengi,kwani kila mtu nowadays amekuwa akipost kila tukio katika maisha yake ya kila siku kwenye mitandao ya kijamii na hasa Instagram...Zari taratibu na hiyo kiu yako ya ndoa, bwana atapepea huyo akuachie jina tu ubaki Mrs hewa, haujifunzi tu? Kwa Diamond hivo hivo Mrs Dee Mrs Dee ukanunua na lile sijui joho sijui gauni nyuma limeandikwa Mrs Dee mara kikatokea kibinti kikapewa mimba na jina la Dee kikampa mtoto, Boss Lady ukabakiziwa Joho tu, haya ushampata mpya tayari ushaanza mbwembwe za Mrs kwanini usitulie hadi mambo yakae sawa, sidhani kama kuna mwanaume anaependa hiyo tabia asee nnavojua ukijionesha una kiu iliyopitiliza hukawii kuachwa kwenye mataa, labda kwakua we bosslady ila sie kina mwajuma ndala ndefu wataishia kutimka mbio tu.
Kama ulivofanya mchumba awe siri, hebu hiyo ndoa inyamazie kwanza hata uwe engaged unajionesha kuitaka sana ni kama vile unataka ndoa ili ukomeshe watu, itakushinda kuihudumia bureeee kisa unataka ukomesheee.... Tulia bwana kwa diamond ulitangaza 2018 it gonna be million dollars typa shit, jini mkata kamba akapita kabla hata hujavalishwa pete View attachment 1129943
ukiona mwanaume kaoa mwanamke mwenye mtoto kuna sababu kadhaa:Zamani nilikuwa nafikiri huyu dada ana akili...kumbe sifuri tupu.......hakuna mwanaume anapenda kuoa mwanamke amezaa watoto watano......labda awe mzee..sio kijana....mtaniambia tumo humu.....
Atazuga ilikuwa ni kiki.Ikibuma je..??!!
Ndiyo njia pekee ya kumwonyesha kwamba, ukisema cha kazi gani mwenzio anasema atakipata lini.Zari anaugua matatizo ya akili kwa sasa yanaitwa BIPOLAR DISORDER
Mwanamke mwenye uwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kushinikiza ndoa ili tu kumjambisha ex wake ambae hata shetani hafui dafu
Kugundua kuvaa shela maana alivaa traditionally sasa hivi anataka "White Wedding"Nawaza hivo hivo, nna pesa nna team ya watoto naolewa kugundua nini sijui
Kishazivaa sana kwenye matangazo na kwenye video shooting za ex wakeKugundua kuvaa shela maana alivaa traditionally sasa hivi anataka "White Wedding"