Mtafiti huyoKwa taarifa yako zile Karanga yeye ametumika kama brand tu kwa ujira was Mil.50 ..ni product za wahindi...ni sawa na Chibu Perfume kwamba ni product ya mke was Joseph Kusaga! muwe mnafanya research...idiot!
Mm najuliza tu hawa watoto wakikua afu wakute hilo tukio la mama yao sijui watajisikiaje.......jitu zima linajisugua na midildo kwa papuch huku linajirekodi yaani ata domo ana roho ngm kwa kweliSidhani kama mkosi kumbuka history ya zari kwenye mitandao ni chafu sana utaishi vipi ma mwanamke k yake iko mitandaoni unategemea heshima ipi itakuwepo kwa mwanamme anaejitambua sidhani kama ataishi na yule dada bado na dharau juu
Umekosea jukwaaHivi kuna kitu gani katika ubongo wa baadhi ya binadamu kunachofanya kila siku waamke na kuanzisha thread kufuatilia habari za celebrity fulani na kumchimba?
Mbona wengine hatuna shobo hizo?
Nataka kujua kama kuna kemikali fulani katika ubongo zinazowapa watu fulani mshawasha huu na kama zipo au hazipo, kuwa nazo au kuzikosa kunaweza kuwa na maana gani kwa mtu?
Je, kama zipo, halafu mtu huna (na ndiyo maana hushobokei habari za celebrities sana) hilo lina maana una upungufu fulani katika mahusiano ya kibinadamu? Au hao watu wenye kemikali hizo ndiyo wenye imbalance inayowafanya wawe kama mateja wa habari za Zari, Diamond, Rihanna etc?
There should be a Ph.D paper on this, if one isn't out there already.
I am sure the BBC has a documentary or sonething somewhere.
Sent from my Kimulimuli
Kuongea rahisi sana.mimi mungu anipe mwanaume kama ivan ,na watoto watatu .eti nijitoe nikaanzishe maisha na mtu mwingine? big no .alikosea sana kuachana na ivan .hakuna ndoa isiyokuwa na shida angevumilia tu baada ya muda wangekuwa sawa .mzimu wa ivan hautomuacha salama
Sio kwa jibu hilo khaaaaKomaa aachwe uolewe wewe
Kumbe umeona! Sidhani kama hata Zari anajitambua. Ana deserve hayo yote. Mwanamke anavyodiriki kujianika uchi kwenye mitandao yaani ni sawa na makahaba ila labda yeye yuko level nyingine.Yeye mwenyewe anajitambua?
Katika maisha ukijishusha Mungu anakupandisha.Zari ni mkosi kweli ulichezea bahati wakati ukiitwa mke wa ivani. Leo wataka uitwe mke wa diamond wakati mmeo alikufa ukashindwa hata kudondosha chozi.
Sasa bwana wa mbadala anatoa huduma waona wivu? Kwani mmeo??
Huna haya eti hutaki mtoto wa hamis afananishe na tiffa kwani tiffa anakojoa soda?? Tulia na wewe ni mpita njia. Diamond anatoa huduma kwa wote
Wewe umeshaachana na wangapi toka ulivyojua kugegeda au kugegedwa?Ni suala LA muda tu. Sidhani kama kwa sasa anafurahishwa na yanayofanywa na muuza Karanga wake. Kumbuka kipindi kile maneno yaliyoandikwa na diamond pale alipoona picha za zari akiwa na mwanaume. sasa unganisha na hili LA Hamisa Mobetto. zari ana mkosi na wanaume hata huyu ataachana naye soon
Wewe ushawahi pata mwanaume. Unadhani furaha ni kuwa na pesa tu? Yaani hapo unatamani mwanaume kama IVAN sababu tu ya umaskini wako kwa kudhani utakuwa na raha uko ndani..Mahusiano magumu sana hayapo marahisi kama unavyoongea..Mnaweza mkapendana lakini mwishoni mkaja mkachukiana kama si wale waliokuwa wapendanao.. Kuta zinaficha mengi.. Kuna watu ndoa zinawatesa ila nyie mlioko nje huku mnadhani wana raha. Siku zote kizuri ni kile cha mwenzio. Mentality ya kudhani mwenzio anafaidi. Kaingie uone ndo utajua kama kuna kufaidi ama lamimi mungu anipe mwanaume kama ivan ,na watoto watatu .eti nijitoe nikaanzishe maisha na mtu mwingine? big no .alikosea sana kuachana na ivan .hakuna ndoa isiyokuwa na shida angevumilia tu baada ya muda wangekuwa sawa .mzimu wa ivan hautomuacha salama
Katika maisha ukijishusha Mungu anakupandisha.
Huyu mchezea dildo hana jipya!
Its not Clear what led to their separation but one guy has the answers. This is what he said.Wewe ushawahi pata mwanaume. Unadhani furaha ni kuwa na pesa tu? Yaani hapo unatamani mwanaume kama IVAN sababu tu ya umaskini wako kwa kudhani utakuwa na raha uko ndani..Mahusiano magumu sana hayapo marahisi kama unavyoongea..Mnaweza mkapendana lakini mwishoni mkaja mkachukiana kama si wale waliokuwa wapendanao.. Kuta zinaficha mengi.. Kuna watu ndoa zinawatesa ila nyie mlioko nje huku mnadhani wana raha. Siku zote kizuri ni kile cha mwenzio. Mentality ya kudhani mwenzio anafaidi. Kaingie uone ndo utajua kama kuna kufaidi ama la
kwani kosa liko wapi? hauzi karanga?