mgweno tajiri
Senior Member
- Mar 8, 2014
- 167
- 29
Ninampongeza mhe. Rais wa jamhuri ya muungano wa tz kwa kusimamia na kuwaokoa wakulima wa zao la korosho, kwa kuhakikisha bei haishuki chini ya 3000
Subiri mpaka kila mtu aweke hela yake mfukoni maana waswahili walisemaga "mgema ukimsifia.........."Ninampongeza mhe. Rais wa jamhuri ya muungano wa tz kwa kusimamia na kuwaokoa wakulima wa zao la korosho, kwa kuhakikisha bei haishuki chini ya 3000