Kiukweli mimi naona wanachoenda kupresent wazanzibari kwenye maoni ya katiba mpya sio mawazo yao halisi, hawa watu ukichunguza utagundua kuwa wamekaririshwa hicho wanachokisema(probably kutoka misikitini au kwenye mikutano ya uamsho) na kwa maana hiyo basi kinachoprevail znzbar kuhusu maoni ya katiba mpya ni mawazo ya watu wachache wanayowakaririsha wananchi wa kawaida kwa sababu zilizojificha. Ukihudhuria utoaji wa maoni zanzibari kila mtoa maoni anatamka hichohicho bila kukosea hata nukta, Hata kwenye picha aliyoweka mtoa maada ambaye anaonekana kuamini ktk utengano utaona bango lilibebwa na kila mtoa maoni ni lile lile kuashiria kuwa it is from one source.