abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
WAZANZIBARI wamezidikudhihirisha kuwa muhimukwao kwa sasa ni juu yamadai yao ya kutambuliwakama nchi na dola kamilikwanza na wala sio la ainaya katiba.
Hayo yameendeleakujitokea mbele ya TUMEya Mabadiliko ya Katibaambapo Tume hiyo imejikutaikipokea maoni ya uwapoau kutokuwapo Muungano badala ya Katiba.Katika vikao katiya wajumbe wa tume nawananchi katika Shehiyatofauti Unguja, tume hiyoimeshuhudia wananchi
Na Mwandishi Wetu
walio wengi katika walewaliofika mbele ya tumewakitoa maoni yanayohusuaina ya Muungano kati yaTanganyika na Zanzibar.Akizungumza hivikaribuni juu ya hali hiyo,mwenyekiti wa timu yaTume ya Mabadiliko yaKatiba inayokusanya maonihayo Zanzibar, ProfesaMwesiga Baregu alikiri kuwawanachopata Zanzibar nikama kura za maoni kuhusukuwapo, kutokuwapo au ainaya mfumo wa Muunganowanaoutaka Wazanzibari.Taarifa zinaonyesha kuwakati ya watu 123 waliotoamaoni kwenye Shehiyaya Mombasa, kwa njia yakuzungumza ni mtu mmoja peke yake aliyetoa maoni yaKatiba Mpya. Na wakati akitoa maonihayo, ilikuwa wazi kuwaalikuwa akiwakera wengikwani wakati akijielezambele ya wajumbe wa tume,wananchi waliibua migunona zomeazomea ikiashiriakutofurahishwa na hatuayake hiyo; ingawa wajumbewa tume waliasa wananchikuvumiliana.Kwa upande mwingine,limetolewa somo juu yamuungano wa mkataba,msamiati na dhana ambayoumekuwa maarufu nakusemwa na wengi.Akitoa darsa hiyo kupitiamtandao, Ismail Jussaamesema kuwa Muungano waMkataba ni MASHIRIKIANOkati ya nchi mbili au zaidiambazo kila moja huwainabaki na mamlaka yakekamili ya KIDOLA kitaifana kimataifa lakini badozikawa zina mashirikianokatika maeneo maalumzitakazoamua kushirikiana,mahusiano ambayo huwayanaongozwa na Mkataba.Akifafanua zaidi akasemakuwa, Muungano waMkataba ni tofauti kabisana Muungano wa Kikatibaambao huwa unamaanishakuwepo kwa Serikali yaMuungano inayosimamiamambo ya Muungano.Katika Muungano waMkataba, Jussa anasema,kila nchi hubaki na Serikaliyake kamili yenye kusimamiamambo yote. Na kwamba, yalemaeneo ya USHIRIKIANOhusimamiwa kupitia amaKAMISHENI YA PAMOJAau KAMATI YA PAMOJAkwa kadiri makubalianoyatakavyokuwa yamewekwakwenye Mkataba.Akielezea faida zaMuungano wa Mkataba, Jussaamesema kuwa ni pamoja nakuwa inaondoa khofu ya nchimoja kuimeza au kuitawalianchi nyengine.Kwamba kila nchi inabakina uhuru na mamlaka yakekamili kitaifa na kimataifakuamua mambo yake.Kwa utaratibu huo, kilanchi mwanachama ina uhuruwa kujitoa katika jambololote ililoamua mwanzokushirikiana pale inapoonahakuna maslahi au faidakuendelea nalo.Kwa upande mwingineakasema kuwa, muungano wamkataba huvutia nchi nyingikuingia katika Muungano waaina hiyo kwa sababu hakunakhofu ya kupoteza mamlakaau kupunguziwa madarakaau mambo yake kuamuliwana nchi nyengine. Na hiyo ni kwa vile,mahusiano huwa ni yakirafiki na ya ujirani mwemayanayopelekea kuaminianana kuondoa kutiliana shakakusikokwisha.