Zanzibar tunahitaji Muungano wa Serikali moja tu

Habari wadau wa JamiiForums

Binafsi napenda kuchukua fursa hii kutoa rai juu ya muungano wa Zanzibar kama ifuatavyo.

Zanzibar haistahili kuwepo na serikali inayojiendeshe yenyewe ya ndani sababu ni moja ya vikwazo vya maendeleo Zanzibar kuwafanya wananchi kutawaliwa na serikali mbili kitu ambacho hakiko kokote duniani.

Lakini pia hakuna kiongozi yoyote wa Zanzibar ambae anamapenzi na Zanzibar na mzalendo wa kweli zaidi ya kuwepo viongozi wanaon'ang'ania madaraka na kulisha matumbo yao

Pia wanachi wa Zanzibar tunahitaji kupewa budget za kimikoa kama inavyofanyika huko bara na kusimamiwa kwa ukamilifu utumiaji wa fedha mana Zanzibar haibadiliki wanakula wao viongozi na kila siku wanakula kwa style mpya

Lakini la mwisho ni kwamba tushagundua kua Zanzibar na Tanzania bara tunaweza kuishi pamoja na kufanya mambo yetu kwa pamoja na tumeona na tunaaminiaana na tupo huru hasa wazanzibari tupo huru sanna bara mana tunaenda kukaa mikoani huko na tunakaribishwa na kuheshimiwa sanna

Hivyo nadhani ni wakati sasa kwa wazanzibari kudai muungano wa serikali moja tu

Zajua wasakatonge wa kisiasa wa chama tawala Zanzibar na upinzanj watagoma sababu ya maslahi yao binafsi ila tu waoumia ni wazanzibari hivyo serikali ya bara tunaomba mutusaidie kuiondosha serikali ya zanzibar hatuitaki inatukandamiza

Dr mwinyi anajitahidi sanna ila haiwezekani mana mafisi ni wengi na wanatumia style mpya zanzibar haiwezekani

Najisikia aibu kabla ya muungano zanzibar uchumi wake ulikua juu kuliko bara ila leo bara ipo juu kiuchumi kuliko zanzibar na nakataa kusema ni bara ndio inayodumiza maendeleo yetu Zanzibar bali ni viongozi wa zanzibar ndio sababu kuu

Nakuhakikishieni kua Wazanzibari ambao sio washabiki wa siasa wanahitaji serikali moja ili pia kuwepo na upendo na amani hasa katika kipindi cha uchaguzi, tuondeleeni serikali ya Zanzibar tuendelee kupendana na kuzikana serikali ya zanzibar imetufikisha pabaya hata leo kuna wengine hatuzikani
Umenena mkuu
 
Sidhani kama kuna anaweza kuleta hoja kwanini Kusiwe na serikali moja zaidi ya kunitusi, hii inadhihirisha ni jinsi gani kutokua na haja ya kuendelea na serikali mbili
Ni wakati wa kua na serikali moja tu
Hivi wananchi hatuoni kero ya kizuizi cha kusafirisha mizigo kutoka huku kwenda huku?!
kwenye hili nakuunga mkono kuliko hali ya muungano wa sasa jinsi ulivyo, tunaaminishwa nchi moja lakini ukija kwenye uhalisia ni nchi mbili.
Haya mambo ya kulipia kodi kitu kikitoka zanzibar au bara ni mojawapo ya kuonesha kuwa hzi ni nchi mbili tofauti zenye kiini macho cha na neno muungano.
 
Habari wadau wa JamiiForums

Binafsi napenda kuchukua fursa hii kutoa rai juu ya muungano wa Zanzibar kama ifuatavyo.

Zanzibar haistahili kuwepo na serikali inayojiendeshe yenyewe ya ndani sababu ni moja ya vikwazo vya maendeleo Zanzibar kuwafanya wananchi kutawaliwa na serikali mbili kitu ambacho hakiko kokote duniani.

Lakini pia hakuna kiongozi yoyote wa Zanzibar ambae anamapenzi na Zanzibar na mzalendo wa kweli zaidi ya kuwepo viongozi wanaon'ang'ania madaraka na kulisha matumbo yao

Pia wanachi wa Zanzibar tunahitaji kupewa budget za kimikoa kama inavyofanyika huko bara na kusimamiwa kwa ukamilifu utumiaji wa fedha mana Zanzibar haibadiliki wanakula wao viongozi na kila siku wanakula kwa style mpya

Lakini la mwisho ni kwamba tushagundua kua Zanzibar na Tanzania bara tunaweza kuishi pamoja na kufanya mambo yetu kwa pamoja na tumeona na tunaaminiaana na tupo huru hasa wazanzibari tupo huru sanna bara mana tunaenda kukaa mikoani huko na tunakaribishwa na kuheshimiwa sanna

Hivyo nadhani ni wakati sasa kwa wazanzibari kudai muungano wa serikali moja tu

Zajua wasakatonge wa kisiasa wa chama tawala Zanzibar na upinzanj watagoma sababu ya maslahi yao binafsi ila tu waoumia ni wazanzibari hivyo serikali ya bara tunaomba mutusaidie kuiondosha serikali ya zanzibar hatuitaki inatukandamiza

Dr mwinyi anajitahidi sanna ila haiwezekani mana mafisi ni wengi na wanatumia style mpya zanzibar haiwezekani

Najisikia aibu kabla ya muungano zanzibar uchumi wake ulikua juu kuliko bara ila leo bara ipo juu kiuchumi kuliko zanzibar na nakataa kusema ni bara ndio inayodumiza maendeleo yetu Zanzibar bali ni viongozi wa zanzibar ndio sababu kuu

Nakuhakikishieni kua Wazanzibari ambao sio washabiki wa siasa wanahitaji serikali moja ili pia kuwepo na upendo na amani hasa katika kipindi cha uchaguzi, tuondeleeni serikali ya Zanzibar tuendelee kupendana na kuzikana serikali ya zanzibar imetufikisha pabaya hata leo kuna wengine hatuzikani
mtoa mada upo sahihi ati, eti kupiga-drift tu eti mtu waitwa kwa hakim mahakamani kweli
 
kiukweli naoungwa mkono mada hii na wadau wengi sanna hasa inbox kumbe tujaribu tunaweza , wadau naonba ushauri nianze kupigana kuanzia wapi ili hii hoja iweze kufanya kazi
 
Habari wadau wa JamiiForums

Binafsi napenda kuchukua fursa hii kutoa rai juu ya muungano wa Zanzibar kama ifuatavyo.

Zanzibar haistahili kuwepo na serikali inayojiendeshe yenyewe ya ndani sababu ni moja ya vikwazo vya maendeleo Zanzibar kuwafanya wananchi kutawaliwa na serikali mbili kitu ambacho hakiko kokote duniani.

Lakini pia hakuna kiongozi yoyote wa Zanzibar ambae anamapenzi na Zanzibar na mzalendo wa kweli zaidi ya kuwepo viongozi wanaon'ang'ania madaraka na kulisha matumbo yao

Pia wanachi wa Zanzibar tunahitaji kupewa budget za kimikoa kama inavyofanyika huko bara na kusimamiwa kwa ukamilifu utumiaji wa fedha mana Zanzibar haibadiliki wanakula wao viongozi na kila siku wanakula kwa style mpya

Lakini la mwisho ni kwamba tushagundua kua Zanzibar na Tanzania bara tunaweza kuishi pamoja na kufanya mambo yetu kwa pamoja na tumeona na tunaaminiaana na tupo huru hasa wazanzibari tupo huru sanna bara mana tunaenda kukaa mikoani huko na tunakaribishwa na kuheshimiwa sanna

Hivyo nadhani ni wakati sasa kwa wazanzibari kudai muungano wa serikali moja tu

Zajua wasakatonge wa kisiasa wa chama tawala Zanzibar na upinzanj watagoma sababu ya maslahi yao binafsi ila tu waoumia ni wazanzibari hivyo serikali ya bara tunaomba mutusaidie kuiondosha serikali ya zanzibar hatuitaki inatukandamiza

Dr mwinyi anajitahidi sanna ila haiwezekani mana mafisi ni wengi na wanatumia style mpya zanzibar haiwezekani

Najisikia aibu kabla ya muungano zanzibar uchumi wake ulikua juu kuliko bara ila leo bara ipo juu kiuchumi kuliko zanzibar na nakataa kusema ni bara ndio inayodumiza maendeleo yetu Zanzibar bali ni viongozi wa zanzibar ndio sababu kuu

Nakuhakikishieni kua Wazanzibari ambao sio washabiki wa siasa wanahitaji serikali moja ili pia kuwepo na upendo na amani hasa katika kipindi cha uchaguzi, tuondeleeni serikali ya Zanzibar tuendelee kupendana na kuzikana serikali ya zanzibar imetufikisha pabaya hata leo kuna wengine hatuzikani
Tanganyika (Tanzania bara) haiitaji tena muungano na nyinyi

Kama mnapenda miungano kaunganeni na Oman

Wazanzibari mmejaa ubaguzi, ubinafsi na ulalamishi

Mnabagua watu kwa msingi ya dini, asili, eneo analotoka; wabinafsi katika ardhi, ajira; wakati huo huo vya Tanganyika mnataka mle
 
Kama zanzibar itasimama kua nchi hakuta kua na manufaa yeyote kwa raia mmoja mmoja bari kwa tabaka la viongozi ambao watakua wanagawana madaraka na pesa z wananchi.
 
Tanganyika (Tanzania bara) haiitaji tena muungano na nyinyi

Kama mnapenda miungano kaunganeni na Oman

Wazanzibari mmejaa ubaguzi, ubinafsi na ulalamishi

Mnabagua watu kwa msingi ya dini, asili, eneo analotoka; wabinafsi katika ardhi, ajira; wakati huo huo vya Tanganyika mnataka mle
hiki ndicho tunakishangaa tanzania bara hawataki serikali moja ila pia hawataki kutuacha huru tukitawale wenyewe lengo lenu ni nini!?
 
hata leo kuna wengine hatuzikani
Nakungoja ufe ili nithibitishe maneno yako kama ni kweli.
Lakini hili kuondoshwa serikali, si ya Zanzibar tuu bali na ile ya Tanganyika nayo iondoshwe ili tubakie na serikali Moja tu ya Muungano ambayo kimsingi hivi sasa haipo , Ipo jina Tuu.
Tunataka serikali ya Muungano yenye Sovereghnity ya Pande zote mbili za Muungano bila kukasim baadhi ya madaraka yake kwe SMZ au Serikali Ya Mungano inayoongozwa na Ile ya Tanganyika kwa jina la Muungano.
Ikiwa hilo litawezekana na Mimi niko tayari kwa Serikali Moja (1)
MOJA KAMILI YATOSHA.
 
Wewe ni Ke au Me ?
Maana Ke wa Kitanganyika Huwaga wanapenda sana Mashombe wa Kizenji.
Labda Unaleta wivu wewe.
Tanganyika (Tanzania bara) haiitaji tena muungano na nyinyi

Kama mnapenda miungano kaunganeni na Oman

Wazanzibari mmejaa ubaguzi, ubinafsi na ulalamishi

Mnabagua watu kwa msingi ya dini, asili, eneo analotoka; wabinafsi katika ardhi, ajira; wakati huo huo vya Tanganyika mnataka mle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom