Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Lakini hukushangaa makondakta wanaovaa hereni huko gongo la mboto??Mimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .