Zanzibar kunyimwa 'Change ya RADA'

Membe hapo vipi wazenji wanahusika wakati wanna baraza lao la elimu. Au kwa kuwa tuliibiwa wote kabla ya Zanzibar kuitwa nchi kwa utawala huu. Maana wakati wa mkapa Zanzibar haikuwa nchi Bali integral part of Tanzania.
 

Ndugu wana jamvi uzuri kusema ile hela ni ya Tanganyika kumbe Tanganyika ipo ki maslahi wakati wa hela hela hiyo ni ya Tanganyika kwa mengine ni muungano, kama ile hela ya Tanganyika ilitoka katika mfuko gani kwani Tanganyika inayo account yake nijuavyo mimi usafiri wa anga uko chini ya muungano, mimi nahisi wacha tuendelee kula hela za watanganyika mpaka itakapo kuwa tayari kuvua koti la muungano, kwanini ijivalishe koti kwenye maslahi ghafla hufufuka Tanganyia
 
[QUOTE=Mkandara;4151684

SikuTanganika itakapo vua koti la muungano basi huu ulalamishi wote utaondoka, lakini chenji ki mantik ni ya Tanganyika aliye preset ni Tanzania na pia lazima kuwe nyenzoambazo zuitatofautisha ki utendaji wa Tangayika na Tanzania
 
Tupa kuleee....pambaf....yanapenda kuvuna yasipopanda...
 
serikali ya muungano ndio Tanganyika kwa maana nyingine serikali ya muungano haipo ndio maana tunataka serikali Tatu,maana serikali ya Tanganyika ndio imevaa koti la muungano, hamjaelewa tu?
 

Haya ni miongoni mwa madhara ya kuwa na serikali mbili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…