........Mwinyi katokea tanganyika, alizaliwa kivure mkoa wa pwani tanganyika na huko ndiko walipo ujoo wake..ndugu zake wote wajomba , mashangazi wote wapo huko....kwa taarifa yako hana jamaaa wala mjomba zanzibar...ndio maana nikasema sio mzanzibar...ameoa tu waraabu na sio waunguja ni wa tandika.
ama jumbe ni mdengereko amezaliwa mji mwema kigamboni na ndipo alipo mpaka leo...nae hana mjomba shangazi wala kaka huko zanzibar wote wapo hapa dar es salaaam .ameona wake wa kiarabu wa kipemba.na ameoa mke wake wa mwanzo kabla ya mapinduzi al kindy mwarabu....wote si wazliwa ni wakuja