Chama CHA MAPINDUZI hakiwezi kuongoza TENA; Viongozi wake hawawezi kuhamasisha WANANCHI hata kidogo bila Wananchi kuwa na DUKUDUKU lao;
Sasa VITAMBULISHO vya TAIFA DR. SHEIN na SERIKALI yake YASHINDWA kuwaelezea Wananchi wa Zanzibar UMUHIMU wa VITAMBULISHO vya TAIFA
Ma-AMIR WAMEWEZA KUWAELEZEA WANANCHI NIA YA SERIKALI YA CCM na IMEWAELEZEA NIA YA SERIKALI SIO NZURI KWA UPANDE WA ZANZIBAR
Sasa Wananchi Wa Zanzibar Watagomea... Ni nani wa kulaumiwa HAPO? UBUTU WA serikali KUU... Rais wa Jamhuri ya Muungano Kikwete yeye anaenjoy
Safari za Ndege na kumbeba ZITTO KABWE... Kweli Hawajui ni nini kinachoisakama NCHI? Rais Hasemi Chochote hata akisema hawamsikilizi?
INASIKITISHA...