wamefuta matokeo ya uchaguzi halali bila kutumia kifungu chochote cha sheria toka kwenye katiba au hata kanuni za uchaguzi, Shein atashindwa kuteua makamu wa Rais KWA KUTUMIA MAMLAKA ALIYOPEWA?Pamoja na CCM kutangazwa washindi katika ngazi ya Urais,Uwakilishi na Udiwani,CUF hawaepukiki katika ustawi wa Zanzibar. Katika uchaguzi wa jana,CUF iligomea uchaguzi huo ingawa wagombea wao hawakuondolewa kwenye karatasi za kupigia kura.
Hali halisi hapa Zanzibar inaonesha kuwa CUF wanahitajika,kuliko wakati wowote ule,katika kutanzua mkwamo mpya wa kikatiba pamoja na kufanyika uchaguzi unaosifiwa kipropaganda. Hapa Zanzibar,kwa hali ilivyo kulingana na matokeo,hakutapatikana Makamu wa kwanza wa Rais.
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar,makamu wa kwanza wa Rais anapaswa kuwa mgombea aliyeshika nafasi ya pili ambaye lazima awe amepata asilimia kumi ya kura zote halali. Kwa asilimia tisini na moja za Dr. Shein,hakuna mgombea aliyepata asilimia kumi. Ndiyo kusema,hata Hamad Rashid,ingawa ndiye aliyetangazwa wa pili,hawezi kuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. ADC ya Hamad Rashid haina hata Mwakilishi mmoja pia.
Katika kuliona hilo,leo hii hii,Rais mteule Dr. Shein na hata Hamad Rashid wamekiri uwepo wa mgogoro wa kisiasa. Kwakuwa CUF hawakushiriki katika uchaguzi wa jana waliouita batili,watashiriki kutafuta suluhisho? Hapa,wananchi karibu wote wako puzzled!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Zanzibar)
Kwa misingi gani mama yangu.Kama hakuna aliyepata >10% ili awe makamu wa Rais wa SMZ basi, hakuna VP. Hakuna serikali ya mseto ila ni ccm full suit.
kama hiyo akili ya magufuli basi,muafaka wa kisiasa ni ndoto kuwepo!Ninachokijua mimi ni ccm imefanya huu uchaguzi na ikijua nini kinatokea, na siyo imetokea kwa bahati mbaya kinachokuja sasa baada ya mataifa wahisani kuinyima misaada znz ambayo yenyewe haiwezi kujiendesha na kufanya maendeleo bila mkono wa nchi wahisani, sarakasi wanayokuja nayo ccm ni kutaka mwafaka na cuf lakini katika ajenda watakazo ongea suala la uchaguzi wa 25/10/2015 halitakuwepo kwenye ajenda ya muafaka, na usifikiri maghufuli kuwasema wanaccm kuhusu meya wa dar ni kuwa kachoka na siasa chafu za ccm la hasha hii kafanya ili apate huruma ya ukawa wamshauri seif akubaliane na matakwa ya ccm, kwani ukawa unanafasi kubwa ya kusikilizwa kuliko ccm na maghufuli, hapa nasubiri viongozi wa ukawa watasema nini juu ya hili?
Pamoja na CCM kutangazwa washindi katika ngazi ya Urais,Uwakilishi na Udiwani,CUF hawaepukiki katika ustawi wa Zanzibar. Katika uchaguzi wa jana,CUF iligomea uchaguzi huo ingawa wagombea wao hawakuondolewa kwenye karatasi za kupigia kura.
Hali halisi hapa Zanzibar inaonesha kuwa CUF wanahitajika,kuliko wakati wowote ule,katika kutanzua mkwamo mpya wa kikatiba pamoja na kufanyika uchaguzi unaosifiwa kipropaganda. Hapa Zanzibar,kwa hali ilivyo kulingana na matokeo,hakutapatikana Makamu wa kwanza wa Rais.
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar,makamu wa kwanza wa Rais anapaswa kuwa mgombea aliyeshika nafasi ya pili ambaye lazima awe amepata asilimia kumi ya kura zote halali. Kwa asilimia tisini na moja za Dr. Shein,hakuna mgombea aliyepata asilimia kumi. Ndiyo kusema,hata Hamad Rashid,ingawa ndiye aliyetangazwa wa pili,hawezi kuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. ADC ya Hamad Rashid haina hata Mwakilishi mmoja pia.
Katika kuliona hilo,leo hii hii,Rais mteule Dr. Shein na hata Hamad Rashid wamekiri uwepo wa mgogoro wa kisiasa. Kwakuwa CUF hawakushiriki katika uchaguzi wa jana waliouita batili,watashiriki kutafuta suluhisho? Hapa,wananchi karibu wote wako puzzled!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Zanzibar)
Hakuna aliyefikia kigezo cha katiba kura >10%Kwa misingi gani mama yangu.
Kama hakuna aliyepata >10% ili awe makamu wa Rais wa SMZ basi, hakuna VP. Hakuna serikali ya mseto ila ni ccm full suit.
HIVI unayajua hayavau ulokuwa unauliza uambiwe..?? Maana umeanza kama anayefahamu lakini umeishia kuonyesha hujui lolote kwenye hiloUnashindwa kuiuliza hiyohiyo katiba
Ikitokea mtu akapata 99%
pia inakuwaje??
hiyo katiba imeweka ukomo wa Asilimia kwa mshindi!?
kinachotakiwa kufuatwa ni katiba na si mitazamo kama wako...Kama mmeamua kususa manake hakuna mseto partner katiabmpira kwapani, ndio itatoka wapi tena uwezi oa mjomba wala shangazi sababu mwali kala kona maisha yanaendelea. Utaenda kuoa kwengine fursa itakapo patikana.
Hamad Rashid alidhani..Yaani nime kereka sana na hizi sarakasi za CCM, wanataka muafaka kwani hawakuwa wakijua wanachokifanya kitaleta matokeo ya aina gani!!?. Unafiki na uzandiki tu umewajaa, huyo Shein anahubiri muafaka na huyo mamluki wao Hamad Rashidi anahubiri muafaka ni kama vile walipanga kabla waseme nini.
Kama kweli kura walizopata ni halali wasi wasi ni wa nini!!?. Ci wajilie vyao huko Ikulu!?Wana majeshi wana vifaru wana mitutu ya bunduki wasi wasi ni wa nini kama sio unafik tu umewajaa.. Mnapoka matakwa ya wananchi kwa nguvu bado mnategemea uungwaji wa mikono!?.
Ficha upumbavu wako... unaonyesha hujui muafaka wa serikali ya mseto unasemajeKwa misingi gani mama yangu.
Ni kweli maana punda unaweza ukamfikisha mtoni lakini kunywa maji ikawa ishu... pale 100% ni maamuzi yakeMIMI NIJUACHO, ZANZIBAR HAITATAWALIKA. MAANA WAFUASI WA CUF HAWATAWASIKILIZA VIONGOZI WA CCM KUANZIA SHINANI HADI TAIFA. IN A WAY KUTAKUWA NA CIVIL DISOBIDIENCE. NA NI HATARI KWA UCHUMI NA MSTAKABALI WA ZANZIBAR KWA UJUMLA. NGOJEENI TUONI SI YETU MACHO.
We ni kilaza tu, ushindani wa CCM na CUF, nani anaweza kupata 99%Unashindwa kuiuliza hiyohiyo katiba
Ikitokea mtu akapata 99%
pia inakuwaje??
hiyo katiba imeweka ukomo wa Asilimia kwa mshindi!?