Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,408
- 163
Unajua matatizo mengine ni mpaka upeleke simu au moderm offisini kwao kule ndio kuna wataalam,
mimi natumia modem ya Zantel wako vyema saana na haina matatizo yoyote kabisa.
.
ThinkPad, na kubaliana na wewe kuwa Zantel ni wazuri kwenye huduma ya mtandao, custormer care aliye nipa hayo majibu ali lielewa tatizo langu vizuri ndio maana akanipa hayo majibu... Kama mdau alivyo sema hapo juu ni kwamba inaonekana wanataka kumaliza stock ya modem zao, maana hii huduma ya kutumia simu kama modem inatumika duniani kote cha kushangaza zantel wameindoa.
ngoja nijarbu kuwacheki kesho ntakupa jibu kama wametoa au lah
Nadhani ni configuration tuu zimesumbua ktk laptop yako:
Elewa Modem/data cards=phone ktk data/GPRS(General Packet Radio Servc for 2g,HSDPA-High Speed Downlink Packet Access for 3g.
Hata ukiconnect modem yako kwenye laptop then ukipiga simu kwenye hiyo line ya kwenye modem itaita...vivyo ,hivyo kwenye sms.
SOLUTION:Inalekea ports zina problem au some setting---FANYA system RESTORE mpka tarehe ambapo hiyo modem ilikuwa inafanya kazi then 100pcent itafanya kazi.
Just go to Start--then Help and Support--click Undo changes to your computer by system restore.ikimaliza isipofanya kazi -----basi nipe jibu.
Asante
Mkuu Inteligence, Asante kwa maelezo yako mazuri,hizo option zote nimezifanya na hata kwenye simu nimefanya hivyo maana uwa kila mwezi nafanya backup kwenye simu yangu... Pia configuration setting hizo hizo za zantel nikiweka line yaTigo/voda na Zain zina fanya kazi bila tatizo lolote,tatizo lina kuja kwenye zantel kila niki-connect ina niletea hii message "subscribe to data packet first" ingali configuration setting za zantel zipo.