road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Nichukue nafasi hii kuishauri kampuni ya simu ya Zantel kujitangaza hasa mikoani kwakua uhitaji wenu ni mkubwa mno,baada ya makampuni mengine kuonesha kiburi kwenye mauza hasa ya data za internet nyinyi zantel mmeonesha kutujali wananchi na hamdokoi data kama ilivyo nitandao mingine ambapo ukiweka au kujiunga nao ndani ya muda mfupi wanakutumia ujumbe kua umetumia 90% ya MB 500 walizo kuuzia kwa sh 1500
Wananchi tunataabika kasa tunasaka line zenu hatupati.
Nawashauri fanyeni haya
1)piteni kwenye vyuo vikuu vilivyo mikoani na kufanya promo za nguvu
2)piteli kwenye madulio yaliyo mikoani mfanye promo za nguvu
Hayo yata waboost sana sana wananchi wamechoshwa na utapeli wa haya makampuni kongawe
Wananchi tunataabika kasa tunasaka line zenu hatupati.
Nawashauri fanyeni haya
1)piteni kwenye vyuo vikuu vilivyo mikoani na kufanya promo za nguvu
2)piteli kwenye madulio yaliyo mikoani mfanye promo za nguvu
Hayo yata waboost sana sana wananchi wamechoshwa na utapeli wa haya makampuni kongawe