N ngony Senior Member Feb 7, 2012 153 17 Feb 17, 2012 #1 zamalek piga hao yeboyebo! wao walishangilia mazembe walivocheza na simba.
Kombo JF-Expert Member Oct 29, 2010 1,812 509 Feb 17, 2012 #2 ngony said: zamalek piga hao yeboyebo! wao walishangilia mazembe walivocheza na simba. Click to expand... Mkuu ngony si vibaya kama utatanguliza "rambirambi" zako!
ngony said: zamalek piga hao yeboyebo! wao walishangilia mazembe walivocheza na simba. Click to expand... Mkuu ngony si vibaya kama utatanguliza "rambirambi" zako!
gango2 JF-Expert Member Aug 31, 2011 1,941 2,251 Feb 17, 2012 #3 zamalek imebaki jina, yanga mziki mnene wewe!!!
Kombo JF-Expert Member Oct 29, 2010 1,812 509 Feb 17, 2012 #4 gango2 said: zamalek imebaki jina, yanga mziki mnene wewe!!! Click to expand... Haya Kaka, tusubiri tuone! Mnyama Simba hata azeeke vipi habadilishwi jina kuwa nyau!
gango2 said: zamalek imebaki jina, yanga mziki mnene wewe!!! Click to expand... Haya Kaka, tusubiri tuone! Mnyama Simba hata azeeke vipi habadilishwi jina kuwa nyau!
N ngony Senior Member Feb 7, 2012 153 17 Feb 17, 2012 Thread starter #5 napenda kutuma salaam zangu za Rambirambi zielekee pale maeneo ya jangwani kuliko jaa mbu!
Kombo JF-Expert Member Oct 29, 2010 1,812 509 Feb 17, 2012 #6 ngony said: napenda kutuma salaam zangu za Rambirambi zielekee pale maeneo ya jangwani kuliko jaa mbu! Click to expand... "Wananchi" watakununiaaa....!!!!
ngony said: napenda kutuma salaam zangu za Rambirambi zielekee pale maeneo ya jangwani kuliko jaa mbu! Click to expand... "Wananchi" watakununiaaa....!!!!