Zali la Mentali

Utaota kisengesi tu kesho utaota unamwambia ntu ntom!b!e unakuta shipa limezama tigoni full utelezi kama umemwagiwa bamia

Ndugu yangu naona umepanik...jinsi unavyoandika ni kama shabiki wa yanga unakimbia uwanja wa taifa baada ya kipigo.. Tuliaaa acha wenge..Btw kama una huo mchezo mchafu pole sana ndugu.. Tutakupeleka India ukapigwe bomba ..
 
ulivuta bange ya Arusha au Malawi? eeeh vipi hukuota na ndoto nyevu ya mchana hapo hapo ukapiga Goal...!!mchana kweupe...

Ndugu yangu bangi uniuzie mwenyewe halafu usahau tena ni ya wapi? Anyways ni ya Arusha..
 

Ha ha ha haaaa nimecheka sana Mkuu.
 
ulivuta bange ya Arusha au Malawi? eeeh vipi hukuota na ndoto nyevu ya mchana hapo hapo ukapiga Goal...!!mchana kweupe...

Huyu alichanganya goto na mavi ya kuku...

Akapiga pafu kadhaa kabla ya kuangusha...
 
Bonge la story nimeipenda bure
 
Mkuu una kipaji kilichojificha! nimecheka sana na kuifanya siku yangu kuanza vizuri,Tunga kama hizi kadhaa tengeneza kijitabu chenye finishing na cover page nzuri utauza na utakuwa milionea amini nakuambia!
 
siku nyingine ukilala mchana tafuta sehemu nzuri ya kujificha ili wasikatishe ndoto zako, ona sasa wala hujafaidi mapesa yako, alafu ndoto ingeendelea walahi mtoto ungemgegeda kilaiini, by the way namba yake si uliisevu? sasa kwa nini usiku ulivyo lala hukumpigia tena ili uendelezee ulipoishia. siku nyingine ukiota ndoto za mikwanja, kimbiza kwanza bank ili uwe unainjoi kwenye ndoto na mifweza yako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…