kwa nini asiweze?
kwa nini asiweze?
Mtoto wa kwanza wa kamanda
CHACHA WANGWE bwana ZAKAYO CHACHA WANGWE ametangaza nia ya kugombea
ubunge wa tarime kwa tiketi ya chadema ndugu zangu wadau je taweza
kuipeperusha vyema bendera ya chadema toeni maoni yenu