Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
haa sio wa huko hivi ulikaaga hall 7?okay......ni rafiki wa hall 7.
ye tulikua nae Masaki kabla sijahamia huku Upanga
haa sio wa huko hivi ulikaaga hall 7?okay......ni rafiki wa hall 7.
yap....2nd na 3rd year nilikataa hall 7.haa sio wa huko hivi ulikaaga hall 7?
ye tulikua nae Masaki kabla sijahamia huku Upanga
kwi! kwi! wki! kwiiii!!Misifa tu...kama anampenda inatuhusu nini?
Kila mtu akitangaza anavyompenda wake itakuwaje?
Upendo wa ukweli hautangazwi...unaonekana.
Hehehehe watu washaanza kujisikia vibaya tayari si kampenda wa kwake jamani tatizo wapii
Unaweza rudia kunielewesha ???nimetoka kapa japo umenifurahisha cc Heaven on Earth labda uje unisaidie hapaMimi namsifu Niffah wa Jamii forum ninaemwona hata sura.Huyu wa Masanja mnaemsifia kamwona nani?Mbona mnaogopa hata kuweka picha yake tukamlinganisha na sifa mnazompa?Usijekuta sura kama li tv lililovunjika.Mnaogopa hata kumtaja jina?Kwa nini nisiendelee kumsifia Niffah?
Mie mzuri sana na nimeolewa. Nancy sumari, klyn wale ni wabaya??Dahhhh kweli Mademu wazuri hawaolewagi !!
haaa sijui kala maharage ya wapi huyo maana... halafu picha za mchumba wa Masanja mbona ziko everywhere....Unaweza rudia kunielewesha ???nimetoka kapa japo umenifurahisha cc Heaven on Earth labda uje unisaidie hapa
Heheheh inabidi watu warudi wakafundishwe kuandika jamanihaaa sijui kala maharage ya wapi huyo maana... halafu picha za mchumba wa Masanja mbona ziko everywhere....
na siku hizi elimu ni bureHeheheh inabidi watu warudi wakafundishwe kuandika jamani
Dah....
Nifah be like