Zahera ameifanya isiwe na uchu wala wivu wa ushindi

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,802
Yanga ya sasa ikifunga goli moja tu inapaki Basi. Au ikitokea ikabahatika kusawazisha wanarudi nyuma wote kulinda .

Tena kipa anapoteza mda makusudi ili kulinda sare. Maajabu ya Dunia,acha Simba watucheke.

Ni mbinu ya hovyo kabsa kuwahi kuiona kwa timu yenye malengo ya kutwaa ubingwa.

Kwa kawaida hii huwa ni mbinu ya timu inayojinusuru kushuka daraja. Mbaya zaidi mbinu hii imekua ikiwaghalimu, lakini Zahera anasema eti haimnyimi usingizi.

Kama halimnyimi usingizi anangoja nini pale Yanga? Yanga inatafta sare hadi mechi ya kirafiki? Viongozi fuatilieni kwa karibu ni nini Zahera anafundisha mazoezini.

Kocha gani hajui hata kusajili. Kumbukeni msimu huu zinashuka timu 4 msije sema hatukuwambia. Shauri enu!!
 
Simba wanashinda mechi kwa kuhonga wachezaji wa timu pinzani, Yanga hawahongi ndio maana wanapaniwa sana

Nakubaliana kuhusu Simba kuhonga wachezaji wa timu pinzani..hilo lina ukweli..lakini sikubaliani na wewe kwamba Yanga inapaniwa sana...kama ni hivyo kwanini Yanga wao nao wasiwapanie wachezaji wa timu pinzani?? Binafsi nimeongoza mpira kwa kiwango cha juu kabisa...Pale Yanga kuna tatizo kubwa la leadership..wengi wa viongozi ni wageni kwa mazingira ya soka ya Tanzania..hakuna continuity ya leadership pale...mpira wa Tanzania matokeo ya ushindi huwa ni asilimia 60 nje ya uwanja na asilimia 40 ndani ya uwanja...Sasa Yanga wanategemea hiyo asilimia 40 na kuiacha hiyo asilimia 60...kwa hili hawatafika mbali..kwa mtindo huu sitashangaa kama Yanga itakuwa moja ya timu zinazopigania kutoshuka daraja kama ilivyokuwa kwa Simba miaka ya 80...Kamati zinazoundwa ndani ya Yanga hazina ufanisi...wengi wa wanakamati ni waropokaji tu na mabishoo...mikakati ya ushindi hufanywa kwa siri na siyo kwa mbwembwe na kuropoka...Simba wana watu makini wanaofanya mipango ambao siyo zaidi ya watu watatu...
 
Tuwe serious jaman hata Kama simba wanahonga lakn mpira uwanjan unaonekana jamaa wanauchu na mafanikio nikuulize Mleta Mada ni mchezaji gani wa yanga anaweza ingia FXI ya simba Wenzetu simba wapo kiprofessional zaidi wamehama kutoka kupayuka payuka Ss bado tunawaza ushirikina Angalia msemaji wa simba siku hizi wala haropoki Pamoja na ushindi wanaopata lakn Ss tumekuwa watu wa porojo. # MPIRA UNACHEZWA UWANJANI NA SIO MDOMONI
 
Tuwe serious jaman hata Kama simba wanahonga lakn mpira uwanjan unaonekana jamaa wanauchu na mafanikio nikuulize Mleta Mada ni mchezaji gani wa yanga anaweza ingia FXI ya simba Wenzetu simba wapo kiprofessional zaidi wamehama kutoka kupayuka payuka Ss bado tunawaza ushirikina Angalia msemaji wa simba siku hizi wala haropoki Pamoja na ushindi wanaopata lakn Ss tumekuwa watu wa porojo. # MPIRA UNACHEZWA UWANJANI NA SIO MDOMONI
Hongera sana kwa kubaini ukweli. Ila kinachoonekana pale Yanga ni kukosa ari ya kutafuta ushindi. Ukimuangalia jinsi Boxer anavyocheza hivi sasa ni tofauti na pale alipokuwa Jangwani. Hivi sasa jamaa anacheza kwa akili na nguvu. Anaonekana ana kiu ya ushindi, jamani Yanga inakufa taratibu na tukumbuke hakuna Simba nzuri bila Yanga nzuri.
Hivi mbona Yanga mko Bardiiiii, sio kama Yanga ileeee yenye amshaamsha mwanzo mwisho? Mmerogwa na Mzairwaaa, au amewalisha limbwata?
 
Tuwe serious jaman hata Kama simba wanahonga lakn mpira uwanjan unaonekana jamaa wanauchu na mafanikio nikuulize Mleta Mada ni mchezaji gani wa yanga anaweza ingia FXI ya simba Wenzetu simba wapo kiprofessional zaidi wamehama kutoka kupayuka payuka Ss bado tunawaza ushirikina Angalia msemaji wa simba siku hizi wala haropoki Pamoja na ushindi wanaopata lakn Ss tumekuwa watu wa porojo. # MPIRA UNACHEZWA UWANJANI NA SIO MDOMONI
Babu Kapombe anaweza kumuweka Boxer benchi?Wawa au mbrazil wanaweza kumuweka benchi Yondani,Fraga anaweza kumuweka benchi Tshishimbi nk nk acha hizo
 
Benchi lote la ufundi linatakiwa kufyekelewa mbali ili kurudisha morali na hamasa ya timu. Wachezaji wanacheza kwa mazoea, kocha yuko busy kulumbana na bodi ya ligi kwenye kuvaa kaptuta zake za POLO!

Noel Mwandila alikuja na Lwandamina! mwenzake alitukimbia wakati wa shida, yeye bado yupo tu Yanga na wakati huo huo tuna makocha kibao tu wazawa na wazalendo wanaoweza kuishika hiyo nafasi. Viongozi wenyewe nao macho juu juu tu.
 
Nakubaliana kuhusu Simba kuhonga wachezaji wa timu pinzani..hilo lina ukweli..lakini sikubaliani na wewe kwamba Yanga inapaniwa sana...kama ni hivyo kwanini Yanga wao nao wasiwapanie wachezaji wa timu pinzani?? Binafsi nimeongoza mpira kwa kiwango cha juu kabisa...Pale Yanga kuna tatizo kubwa la leadership..wengi wa viongozi ni wageni kwa mazingira ya soka ya Tanzania..hakuna continuity ya leadership pale...mpira wa Tanzania matokeo ya ushindi huwa ni asilimia 60 nje ya uwanja na asilimia 40 ndani ya uwanja...Sasa Yanga wanategemea hiyo asilimia 40 na kuiacha hiyo asilimia 60...kwa hili hawatafika mbali..kwa mtindo huu sitashangaa kama Yanga haitakuwa moja ya timu zinazopigania kutoshuka daraja kama ilivyokuwa kwa Simba miaka ya 80...Kamati zinazoundwa ndani ya Yanga hazina ufanisi...wengi wa wanakamati ni waropokaji tu na mabishoo...mikakati ya ushindi hufanywa kwa siri na siyo kwa mbwembwe na kuropoka...Simba wana watu makini wanaofanya mipango ambao siyo zaidi ya watu watatu...

Wewe mwanakatwe futa kauli yako simba huwa haihongi acha kupotosha
 
Endelea kuwaza hayo wakat wwe unawaza YANGA ina kikosi bora Wenzetu simba wanasonga mbele kwa ushindi Mkubwa tuendelee kuota tukishtuka simba itakuwa ishapiga hatua mbele sisi bado tunalumbana hebu Fikiria mkuu mchezaji ambaye alifanya majaribio simba nakuonekana hafai sisi tumemsajir tena bila majaribio
Babu Kapombe anaweza kumuweka Boxer benchi?Wawa au mbrazil wanaweza kumuweka benchi Yondani,Fraga anaweza kumuweka benchi Tshishimbi nk nk acha hizo
 
Wewe unajinasibu ni Yanga lkn baadae unaonyesha wewe ni simba.
Kwann washabiki wa simba wengi hawamtaki Zahera kuwa kocha Yanga?
Je mnafikiri akiondoka ndio maisha ya simba yatakuwa rahisi?
Wengi wenu ni wale mashabiki oyaa oyaa mmeanza ushabiki baada ya Mo kuichukua simba.
 
Mbonani kawaida sana labda km ushabiki wa mpira umeanza juzi fuatilia ulaya Kuna wachezaji wengi waliachwa mwanzo na timu baadae wakawa mastaa Kwenye timu zingine. Ndio maana mkaitwa mbumbumbu sababu akili zenu anawashikia manara.
 
"YANGA tunakuja mdogomdogo hadi hapo juu ila kwamba Yanga itang'ang'ania kutoshuka daraja"-kwa kauli hii ni ngumu sana mpira wetu kuendelea kama wewe ndo ulikuwa kiongozi wa mpira ngazi za juu.Yani umeona Yanga itapigania kushuka daraja?RIP mpira wa Tz ila kwa kuwa ushastaafu ndio maana mpira umeanza kupanda viwango nchini.
Nakubaliana kuhusu Simba kuhonga wachezaji wa timu pinzani..hilo lina ukweli..lakini sikubaliani na wewe kwamba Yanga inapaniwa sana...kama ni hivyo kwanini Yanga wao nao wasiwapanie wachezaji wa timu pinzani?? Binafsi nimeongoza mpira kwa kiwango cha juu kabisa...Pale Yanga kuna tatizo kubwa la leadership..wengi wa viongozi ni wageni kwa mazingira ya soka ya Tanzania..hakuna continuity ya leadership pale...mpira wa Tanzania matokeo ya ushindi huwa ni asilimia 60 nje ya uwanja na asilimia 40 ndani ya uwanja...Sasa Yanga wanategemea hiyo asilimia 40 na kuiacha hiyo asilimia 60...kwa hili hawatafika mbali..kwa mtindo huu sitashangaa kama Yanga itakuwa moja ya timu zinazopigania kutoshuka daraja kama ilivyokuwa kwa Simba miaka ya 80...Kamati zinazoundwa ndani ya Yanga hazina ufanisi...wengi wa wanakamati ni waropokaji tu na mabishoo...mikakati ya ushindi hufanywa kwa siri na siyo kwa mbwembwe na kuropoka...Simba wana watu makini wanaofanya mipango ambao siyo zaidi ya watu watatu...
 
Acha uongo ndugu Yanga imecheza mechi 3 mpaka sasa halafu unasema kuropoka.Hii sio akili ya wanaYanga ni akili za mbumbumbu wa simba.Yanga iko vizuri na itafanya vizuri sana.Yanga iko kiproffessional just kama simba ila Sasa shida yako ni kutaka wanayofanya simba na Yanga wafanye kitu ambacho sio sahihi.

Hivi unaweza kutoa ushahidi kuwa Yanga wanaropoka?bila shaka katika hili umeteleza sana tu.
Tuwe serious jaman hata Kama simba wanahonga lakn mpira uwanjan unaonekana jamaa wanauchu na mafanikio nikuulize Mleta Mada ni mchezaji gani wa yanga anaweza ingia FXI ya simba Wenzetu simba wapo kiprofessional zaidi wamehama kutoka kupayuka payuka Ss bado tunawaza ushirikina Angalia msemaji wa simba siku hizi wala haropoki Pamoja na ushindi wanaopata lakn Ss tumekuwa watu wa porojo. # MPIRA UNACHEZWA UWANJANI NA SIO MDOMONI
 
Huyo ni mbumbumbu bwana achana nae hata hajielewi huyo
Babu Kapombe anaweza kumuweka Boxer benchi?Wawa au mbrazil wanaweza kumuweka benchi Yondani,Fraga anaweza kumuweka benchi Tshishimbi nk nk acha hizo
 
Mbumbumbu BwanaYani simba hii ndo ya kuifanyia Reference? Achabushabiki Maandazi ndugu kuna wachezaji wengi walifanya majaribio sehemu nyingi ila wakaona hawafai wakawapiga china walitafuta timu zingine wanaendelea.Hivi simba ina ubora gani hata ukafanisha na Yanga?Mbumbumbu bwana akili zenu
Endelea kuwaza hayo wakat wwe unawaza YANGA ina kikosi bora Wenzetu simba wanasonga mbele kwa ushindi Mkubwa tuendelee kuota tukishtuka simba itakuwa ishapiga hatua mbele sisi bado tunalumbana hebu Fikiria mkuu mchezaji ambaye alifanya majaribio simba nakuonekana hafai sisi tumemsajir tena bila majaribio
 
"YANGA tunakuja mdogomdogo hadi hapo juu ila kwamba Yanga itang'ang'ania kutoshuka daraja"-kwa kauli hii ni ngumu sana mpira wetu kuendelea kama wewe ndo ulikuwa kiongozi wa mpira ngazi za juu.Yani umeona Yanga itapigania kushuka daraja?RIP mpira wa Tz ila kwa kuwa ushastaafu ndio maana mpira umeanza kupanda viwango nchini.

sawa..nayaheshimu mawazo yako...ila hilo la viwango kupanda sina hakika nalo...upo wakati viwango vyetu vvilikuwa juu kabisa...ila kama huoni kuwa Yanga kama itaendelea hivi ilivyo inaweza ikajikuta inapambana kushuka daraja nalo ni sawa tu...ni mtazamo tu..
 
Back
Top Bottom