Zaama la Talaka laingia kwa wachungaji - Benny Hinn Apigwa Talaka na Mkewe


simtetei shetwani. lakini lazima tujenge imani kuwa mapenzi ni kama kiumbe hai. huwa yanazaliwa kwa kuanza kufahamiana na baadae mapenzi yanadhihirika na haja ya kuishi pamoja mkiwa katika hali ya mapenzi inajitokeza na ndio ndoa huzaliwa hapo... lakini lazima pia tukubali kuwa kila chenye uhai na kinachozaliwa hakina budi kufa. mapenzi pia yana uhai usipoyalisha yananyauka, au yakipata magonjwa ya magomvi utengano n.k. yanaweza hata kufa.. na hayo ya mama huyyo yameisha. Tubadili mtazamo na viapo vyetu hii habari ya tutaishi pamoja hadi kifo kitutenganishe ni tatizo hapa, ingekuwa ni mpaka hapo mapenzi yetu yatakapokufa basi kusingekuwa na kushangaa wakati wa talaka. msisahau wachungaji ni binadamu pia wanamapungufu yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…