count shetwani out of this mess please...
mbona unamtetea shetani??? amekutuma au umeamua tu kumtetea??? Of course kuachana ni kazi za shetani - yeye kazi yake ni kuchinja, kuharibu, kuua - Hata hivyo naamini mtumishi huyu wa Mungu (Benny Hin) atasimama imara katika jaribu hili bila kumkosea Mungu na bila kutetereka kuifanya kazi ya Mungu aliyoitiwa. Katika kila jaribu Mungu ameweka mlango wa kutokea - let all believers pray for him - amen!!