Za mwizi arobaini

Za mwizi arobaini

Souleyhb

Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
67
Reaction score
14
Atimaye yule mwizi wa pikipiki almaarufu bodaboda jana alinasa mtegoni kiulaini huku kwetu Kimara,kama isingekuwa maafande kuwahi basi angegeuka nyama choma,
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1390282768834.jpg
    uploadfromtaptalk1390282768834.jpg
    34.3 KB · Views: 835
  • uploadfromtaptalk1390283056955.jpg
    uploadfromtaptalk1390283056955.jpg
    57.1 KB · Views: 759
  • uploadfromtaptalk1390283106300.jpg
    uploadfromtaptalk1390283106300.jpg
    53.6 KB · Views: 689
vijana wanapenda urahisi, mwenzio atafute wewe uchukue. iwe fundisho kwa wengine
 
Halafu ana mkono wa sweta, na cha kushangaza utaona wanatimu wenzake kesho bado wanaendelea na wizi hawaogopi,
 
vijana wanapenda urahisi, mwenzio atafute wewe uchukue. iwe fundisho kwa wengine

Halafu ana mkono wa sweta, na cha kushangaza utaona wanatimu wenzake kesho bado wanaendelea na wizi hawaogopi,
 
Atimaye yule mwizi wa pikipiki almaarufu bodaboda jana alinasa mtegoni kiulaini huku kwetu Kimara,kama isingekuwa maafande kuwahi basi angegeuka nyama choma,
mbona picha zinamuonyesha kama vile amekuwa hivyo!?

 
Jambo la kusikitisha

Watanzania wangapi walioshiriki katika tendo la kumtoa uhai huyo kibaka ambao wanaishi bila ya kutenda uhalifu.

Miungoni wa Waliompiga bila ya shaka ni wezi au vibaka wenzake.

Tunatakiwa kuwa na fikra za kina na kujiuliza kutoa uhai na kuripoti kwa kujivuna namna hii . Je imani zetu katika Dini zetu iko juu kwa kiwango gani.

Sina sababu ya kutetea wezi lakini napiga yowe kuwaombea nusra wale wenye kuchukua hatua mkononi mbele ya Muumba.
 
Jambo la kusikitisha

Watanzania wangapi walioshiriki katika tendo la kumtoa uhai huyo kibaka ambao wanaishi bila ya kutenda uhalifu.

Miungoni wa Waliompiga bila ya shaka ni wezi au vibaka wenzake.

Tunatakiwa kuwa na fikra za kina na kujiuliza kutoa uhai na kuripoti kwa kujivuna namna hii . Je imani zetu katika Dini zetu iko juu kwa kiwango gani.

Sina sababu ya kutetea wezi lakini napiga yowe kuwaombea nusra wale wenye kuchukua hatua mkononi mbele ya Muumba.

Hujaibiwa wewe, siku ukiibiwa utajua kwanini watuchujua sheria mkononi. yeye angefanikiwa kuingia kichakani na dereva bodaboda unadhani angemuacha hai?
 
Halafu ana mkono wa sweta, na cha kushangaza utaona wanatimu wenzake kesho bado wanaendelea na wizi hawaogopi,

umetishaa, umechunguzaaa hadi ukaona jamaa alikua anakaogopa kamkasi ka hospital. kweli watu mna macho
 
Duh mkono wa sweater umeachwa wazi kwetu ni deal sana hilo. Kweli kipigo hakivumiliki hata mkono wa sweater umesinyaa! !!!?
 
Binafsi nina uchungu sana na aina yoyote ya wizi...ndio mana nchi nyingine adhabu zake zinakuwa kali...Kibongo bongo hawa bodaboda na hawa wanaoendesha hizi boxer 150..ni balaa, pindi akidakwa mmoja wao nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wakudemostrate jinsi ya kutoa kipondo kwa kibaka.
Wamekuwa wanakwapua vitu kwenye meza za bar kama mwewe na kifaranga...jeuri yao ni hizo boxer 150 mana inakimbia kweli!...
 
Ooooh, Mr. Magnetic Hand pole yake!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom