Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Sakata la zile trilioni 1.5 ambazo hazijulikani zimetumika wapi limeibuka katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar mara baada ya mwakilishi kuuliza zile bil 200 zilisemwa zimepewa serikali za mapinduzi mbona nazo hazionekani. Zimepokelewa lini na zimetumikaje na kama zipo mbona hazijapangiwa matumizi.
Majibu ya serikali ya Zanzibar ikasema kuwa hilo swali sio mahala pake na hawezi kulijibu maana ni la serikali kwanini linaulizwa kwenye baraza.
Chanzo: ITV
Majibu ya serikali ya Zanzibar ikasema kuwa hilo swali sio mahala pake na hawezi kulijibu maana ni la serikali kwanini linaulizwa kwenye baraza.
Chanzo: ITV