2011, wakati wasomi wetu kule jeshini na Mavyuoni wameshindwa hata kuendeleza uvumbuzi wa ile gari ya kwanza ya Tanzania (NYUMBU), on April 12, 1961 RUSSIA (USSR at that time) ilikuwa nchi ya kwanza duniani kutuma chombo (VOSTOK 1) angani.
Leo hii, miaka 50 baada ya UHURU kutoka kwa Muingereza, wasomi wetu bado wanaridhika na kazi za ku-repair mitambo iliyotengenezwa na Wahindi na wachina. Ain't nothing wrong with that, lakini nadhani we can do better than that.