Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari wadau.
Mtamkumbuka sana mheshimiwa Juma Kapuya. Aliwahi kuwa waziri ktk wizara mbalimbali humu nchini.
Anakumbukwa sana ktk tukio la kufuta mitihani ya kidato cha nne mwaka 1998 akidai ilivuja. Mtihani huo ulirudiwa January 1999.
Pia anakumbukwa kwa skendo ya kulazimisha penzi kwa mwanafunzi wa kike aliyekuwa akimsomesha na sakata hili lilirindima sana mwaka 2013.
Huyu mheshimiwa kapotelea wapi?
Mtamkumbuka sana mheshimiwa Juma Kapuya. Aliwahi kuwa waziri ktk wizara mbalimbali humu nchini.
Anakumbukwa sana ktk tukio la kufuta mitihani ya kidato cha nne mwaka 1998 akidai ilivuja. Mtihani huo ulirudiwa January 1999.
Pia anakumbukwa kwa skendo ya kulazimisha penzi kwa mwanafunzi wa kike aliyekuwa akimsomesha na sakata hili lilirindima sana mwaka 2013.
Huyu mheshimiwa kapotelea wapi?