Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
wasalaam,
ni takribani wiki tatu sasa tangu kipindi cha JiCHO LETU NDANI YA HABARI" Kiache kwenda hewani. kinaruka kila Jumamosi saa 1:30 -3:00 asubuhi. mwandaaji wa kipindi ni Dotto.
bwana dotto ameweza kujipambanua na wandishi, wandaaji na wahariri wengi hapa nchini kwa umahiri wake wa kujadili habari kihabari zaidi. mwandishi anaibua, kuhoji na kudadisi habari kutoka engles za habari.
kwa wiki mbili hivi kipindi kimekuwa hakipo hewani.
Nini kimetokea? au nacho kimeshafungiwa wakuu?
Dotto bulendu ni mwanachama hapa tupe maelezo ya kinachoendlea mkuu.
wadau tunaikosa chai yetu ya asubuhi jumamosi.
asante.
ni takribani wiki tatu sasa tangu kipindi cha JiCHO LETU NDANI YA HABARI" Kiache kwenda hewani. kinaruka kila Jumamosi saa 1:30 -3:00 asubuhi. mwandaaji wa kipindi ni Dotto.
bwana dotto ameweza kujipambanua na wandishi, wandaaji na wahariri wengi hapa nchini kwa umahiri wake wa kujadili habari kihabari zaidi. mwandishi anaibua, kuhoji na kudadisi habari kutoka engles za habari.
kwa wiki mbili hivi kipindi kimekuwa hakipo hewani.
Nini kimetokea? au nacho kimeshafungiwa wakuu?
Dotto bulendu ni mwanachama hapa tupe maelezo ya kinachoendlea mkuu.
wadau tunaikosa chai yetu ya asubuhi jumamosi.
asante.