Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
1. Hajui mapenzi, anapika vizuri, anakiburi ni msafi ila anapenda kuwa rafu mpaka apende ndo avae vizuri apendeze ana biashara zake hela haimpigi chenga ila hata chumvi hanunui anawivu sana akipiga sim isipopokelewa anachanganyikiwa anafunga hadi biashara yake anakutafuta .
2. Ni mzuri wa sura ana umbo kama malaika mwanaume rijali lazima uchanganyikiwe,hana pesa na hana tamaa si muombaji hadi umpe mwenyewe, msafi anajua kuvaa anajua mapenzi hana wivu ila akigundua unamcheat hachelewi kukuua hata kisu anakuchoma.
NAOMBA USHAURI NIMUOE NANI? No.1 au No.2.? nipo njia panda kama una chakuniuliza uliza tu.
2. Ni mzuri wa sura ana umbo kama malaika mwanaume rijali lazima uchanganyikiwe,hana pesa na hana tamaa si muombaji hadi umpe mwenyewe, msafi anajua kuvaa anajua mapenzi hana wivu ila akigundua unamcheat hachelewi kukuua hata kisu anakuchoma.
NAOMBA USHAURI NIMUOE NANI? No.1 au No.2.? nipo njia panda kama una chakuniuliza uliza tu.