Unauliza kiunafiki kwamba Unataka kujua au una nia yako binafsi tofauti?!
Ujue alipo Msuya ili ikusaidie nini wewe?! Hebu waacheni hao waliostaafu na kupumzishwa kimadaraka wale pensheni zao kwa amani. Msipende kuundaunda mambo kuhatarisha amani na kuzua taharuki vichwani mwa watanzania.