Itabidi tumuulize mwanae yule Maria Sarungi
Lkn yupo kazeeka sana,niliona kuna kipindi wanae walimfanyia birthday
Kawaharibu sana pua
Ila ameshindwa kuendeleza ile taaluma ya kutibu mifupa bila ya POPAnapumzika. Umri umemtupa mkono
Ngoja kwanza amalize kutambariziwa atakuja kujibuNa huyo Mwanae wa Kike ( MS ) si tunae sana hapa JF kwanini hatiririki na haserereki na hili swali ili amalize utata tupumzike?
Ngoja kwanza amalize kutambariziwa atakuja kujibu
Ha ha ha ha ha! Leo umeamua kulikana begi lako sababu lina meno ya tembo ndani?Kutambariziwa ndiyo nini Mkuu? Naomba nielimishe katika hilo neno tafadhali kwani naliona sana humu JF.
Mtag tuNa huyo Mwanae wa Kike ( MS ) si tunae sana hapa JF kwanini hatiririki na haserereki na hili swali ili amalize utata tupumzike?
Itabidi tumuulize mwanae yule Maria Sarungi
Lkn yupo kazeeka sana,niliona kuna kipindi wanae walimfanyia birthday
Kawaharibu sana pua
eti kawaharibu sana pua lohMkuu umeadimika hapa JF.Na huyo Mwanae wa Kike ( MS ) si tunae sana hapa JF kwanini hatiririki na haserereki na hili swali ili amalize utata tupumzike?