Huyu jamaa anafaa kuigiza, sijui alisomaje sheria, anajua kuishi na mtu kwa speed Sawa. Huyu jamaa alivyopretend aliaminiwa mpaka akapewa jimbo hata wenye jimbo hawajui.
Alituwakilisha Watanzania milioni 60 kuonja dawa Ya covid kule Madagascar akipewa ndege ya serikali kwenda kuleta mabox, sijui yalipotelea wapi.
Alikuja na msemo wa kutoka jalalani mpaka juu, akimaanisha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu kumbe ni jalalani, je walimu wa shule za msingi huko tupaiteje.
Alichombeza neno mabeberu, huku tukichukua misaada yao kila kukicha.
Aliigeuka rasimu ya katiba, kama hakushiriki kuiandaa.
Mbwembwe zote za Kabudi zimetulizwa ndani ya miez miwili tu, hakujua enzi Zina mwisho.
Endelea kula kilichobaki, Lakini haupo mstari wa mbele kama ulivyokuwa kwa mwendazake.
Alituwakilisha Watanzania milioni 60 kuonja dawa Ya covid kule Madagascar akipewa ndege ya serikali kwenda kuleta mabox, sijui yalipotelea wapi.
Alikuja na msemo wa kutoka jalalani mpaka juu, akimaanisha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu kumbe ni jalalani, je walimu wa shule za msingi huko tupaiteje.
Alichombeza neno mabeberu, huku tukichukua misaada yao kila kukicha.
Aliigeuka rasimu ya katiba, kama hakushiriki kuiandaa.
Mbwembwe zote za Kabudi zimetulizwa ndani ya miez miwili tu, hakujua enzi Zina mwisho.
Endelea kula kilichobaki, Lakini haupo mstari wa mbele kama ulivyokuwa kwa mwendazake.