kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Yuko wapi Moses Phiri? Mbona siku hizi hasikiki tena. Bado ni majeruhi au. Nimecheka kwa uzuni kabisa
Tulipo wambia acheni kumlinganisha Mayele na Moses Phiri tulikuwa tuna sababu kubwa
Na sababu moja ni hii tuliona huyu bwana akianza kukabwa vizuri na mabeki zaidi ya wawili hatoboi kwa uchezaji wake tu ulionekana.
Mpeni sifa Mayele mpaka sasa bado ni mzima hakuna mchezaji ambaye last season na this season ambaye alikuwa anapigwa viatu na mabeki kama Fiston Mayele watu wakijaribu kukanya mnacheka eti tunataka awe anafunga kirahisi.
Phiri kapigwa gundi moja tu kapotea kwenye ramani ya game
Tulipo wambia acheni kumlinganisha Mayele na Moses Phiri tulikuwa tuna sababu kubwa
Na sababu moja ni hii tuliona huyu bwana akianza kukabwa vizuri na mabeki zaidi ya wawili hatoboi kwa uchezaji wake tu ulionekana.
Mpeni sifa Mayele mpaka sasa bado ni mzima hakuna mchezaji ambaye last season na this season ambaye alikuwa anapigwa viatu na mabeki kama Fiston Mayele watu wakijaribu kukanya mnacheka eti tunataka awe anafunga kirahisi.
Phiri kapigwa gundi moja tu kapotea kwenye ramani ya game