M mastersajenti Senior Member Joined Dec 4, 2015 Posts 165 Reaction score 24 Dec 23, 2015 #1 Wadau mnijuze aliko mbunge wangu Mh.sana Shibuda .Mkuu huyu hakujua kuwa chadema yeye baadae amepotea kabisa kimya kimya.Chezea siasa wewe
Wadau mnijuze aliko mbunge wangu Mh.sana Shibuda .Mkuu huyu hakujua kuwa chadema yeye baadae amepotea kabisa kimya kimya.Chezea siasa wewe
mkatagogo JF-Expert Member Joined Nov 21, 2015 Posts 229 Reaction score 45 Dec 23, 2015 #2 Tadea Ni katibu mkuu
S sawa JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 2,752 Reaction score 930 Dec 23, 2015 #3 Nimesoma leo ni mwenyekiti wa chama cha Ada-tadea na ni mwenyekiti wa umoja wa rufaa ya wananchi yupo na dovutwa fahmi nassoro
Nimesoma leo ni mwenyekiti wa chama cha Ada-tadea na ni mwenyekiti wa umoja wa rufaa ya wananchi yupo na dovutwa fahmi nassoro
mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,195 Reaction score 49,117 Dec 23, 2015 #4 Siku hizi ni mwenyekiti wa Vyama visivyopata ruzuku Tanzania
G'taxi JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 6,651 Reaction score 8,686 Dec 23, 2015 #5 mastersajenti said: Wadau mnijuze aliko mbunge wangu Mh.sana Shibuda .Mkuu huyu hakujua kuwa chadema yeye baadae amepotea kabisa kimya kimya.Chezea siasa wewe Click to expand... Jimboni kwake ametolewa na mbunge wa ccm anaitwa Mashimba Joel Ndaki.huyo ndo mbunge wa hlo jimbo jawa sasa,Shibuda wametupa kule..
mastersajenti said: Wadau mnijuze aliko mbunge wangu Mh.sana Shibuda .Mkuu huyu hakujua kuwa chadema yeye baadae amepotea kabisa kimya kimya.Chezea siasa wewe Click to expand... Jimboni kwake ametolewa na mbunge wa ccm anaitwa Mashimba Joel Ndaki.huyo ndo mbunge wa hlo jimbo jawa sasa,Shibuda wametupa kule..
Mnondwe JF-Expert Member Joined Apr 10, 2015 Posts 4,012 Reaction score 3,683 Dec 23, 2015 #6 Huyo nae acha apotee,mtu gani hana msimamo na kujipendekeza kwingi kwa wakubwa,kazi ya kubomoa upinzani tu,acha atokomee,yeye si alisema ni zaidi ya chama! ukiona umezaa mtoto ana kichwa kama cha mbunge wako huyu,basi umezaa zero upstairs
Huyo nae acha apotee,mtu gani hana msimamo na kujipendekeza kwingi kwa wakubwa,kazi ya kubomoa upinzani tu,acha atokomee,yeye si alisema ni zaidi ya chama! ukiona umezaa mtoto ana kichwa kama cha mbunge wako huyu,basi umezaa zero upstairs
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,436 Reaction score 50,163 Dec 23, 2015 #7 Ameenda kufundisha fasihi simulizi huko?
mgt software JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 13,793 Reaction score 7,165 Dec 23, 2015 #8 yupo anafuga ming'ombe huko maswa, alidhani kusaliti chama mchezo akale kiburi chake.
D DREAMBOY JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 2,117 Reaction score 1,372 Dec 23, 2015 #9 misemo yake ntaimis kwel
sungusungu JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 3,057 Reaction score 722 Dec 23, 2015 #10 Huyo Shibuda atapotea kabisa
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Joined Dec 8, 2010 Posts 7,521 Reaction score 6,517 Dec 23, 2015 #11 Ni katibu mkuu wa chama fulani mfu ambacho hakijawahi fanya mkutano mkuu na wala msajiri wa vyama vya siasa hana mpango nacho.
Ni katibu mkuu wa chama fulani mfu ambacho hakijawahi fanya mkutano mkuu na wala msajiri wa vyama vya siasa hana mpango nacho.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 57,961 Reaction score 134,052 Dec 23, 2015 #12 Wa kulaumiwa ni Zito.c.c mcubic Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,659 Reaction score 40,257 Dec 23, 2015 #13 sawa said: Nimesoma leo ni mwenyekiti wa chama cha Ada-tadea na ni mwenyekiti wa umoja wa rufaa ya wananchi yupo na dovutwa fahmi nassoro Click to expand... Wamekutana na dovutwa woote wapiga dili... aiseee
sawa said: Nimesoma leo ni mwenyekiti wa chama cha Ada-tadea na ni mwenyekiti wa umoja wa rufaa ya wananchi yupo na dovutwa fahmi nassoro Click to expand... Wamekutana na dovutwa woote wapiga dili... aiseee
swagazetu JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 4,253 Reaction score 1,475 Dec 23, 2015 #14 Mwenyekiti wa URUWA Umoja wa Rufaa ya Wananchi.
Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,949 Reaction score 74,431 Dec 23, 2015 #15 OKW BOBAN SUNZU said: Wa kulaumiwa ni Zito.c.c mcubic Click to expand... Acha bwana! Hii kwangu ni breaking news! Kumbe ndio maana! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
OKW BOBAN SUNZU said: Wa kulaumiwa ni Zito.c.c mcubic Click to expand... Acha bwana! Hii kwangu ni breaking news! Kumbe ndio maana!
mcubic JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 10,310 Reaction score 6,546 Dec 26, 2015 #16 OKW BOBAN SUNZU said: Wa kulaumiwa ni Zito.c.c mcubic Click to expand... Hahahaaaa....bila kumtaja zitto huna raha mwanamsimbazi
OKW BOBAN SUNZU said: Wa kulaumiwa ni Zito.c.c mcubic Click to expand... Hahahaaaa....bila kumtaja zitto huna raha mwanamsimbazi
Mkendo JF-Expert Member Joined Oct 14, 2013 Posts 3,142 Reaction score 2,241 Dec 26, 2015 #17 Kaungana na wasaka tonge wenzake....
K kawaida2 Senior Member Joined Oct 1, 2015 Posts 104 Reaction score 20 Dec 26, 2015 #18 Nami naomba kuuliza, ivi yule mbunge aliwahi kutamka bungeni kwa kuwaambia wabunge wa upinzani wana ( ASHKI ) bado ni mbunge?
Nami naomba kuuliza, ivi yule mbunge aliwahi kutamka bungeni kwa kuwaambia wabunge wa upinzani wana ( ASHKI ) bado ni mbunge?