Huyu mama mchapakazi ameadimika sana siku hizi, yuko wapi kwasasa? Ni mmoja kati ya mawaziri wa awamu za nyuma niliyekuwa namkubali sana.
Kuna kipindi alikuwa anashikilia rekodi ya kuwa mwanamke aliyeshikilia rekodi ya kuwa Waziri kwa muda mrefu, akihudumu katika Wizara mbalimbali kwa miaka 19 mfululizo.
Yu wapi kwasasa?