Yuko Wapi Mama Mary Nagu?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Huyu mama mchapakazi ameadimika sana siku hizi, yuko wapi kwasasa? Ni mmoja kati ya mawaziri wa awamu za nyuma niliyekuwa namkubali sana.

Kuna kipindi alikuwa anashikilia rekodi ya kuwa mwanamke aliyeshikilia rekodi ya kuwa Waziri kwa muda mrefu, akihudumu katika Wizara mbalimbali kwa miaka 19 mfululizo.

Yu wapi kwasasa?
 
Nenda wilaya ya HANANG, pale KATESH utamkuta amejaa...mambo n moto...
 
Mheshimiwa yupo anapiga kazi balaa,,amewaunganisha wananchi wanatekeleza ilani ya CCM hana shaka yoyotee...ni mmojawapo wa akina mama wenye uwezo mkubwa sanaa na wasio na kashfa yoyote...
 
Write your reply...timu lowasa.haokoti kwa jiwe.
 
Nahisi atakuwa team lowasa, team lowasa wote wako kimya, ukileta maneno mengi tu, wanakula kichwa wazee wa hapa kazi tu.
 
Uchapakazi kwa kutumia vigezo vipi? Ili tuweze kumlinganisha na wengine
 
atakuwa analima mihogo now, shamba.
 
Mchapakazi wapi hawa ndo walikuwa wanatafuna nchi hawa.
 
Baada ya kutupwa lock up mara mbili na DC alipunguza makeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…