Yuko wapi Brg Gen Dr. Balele aliyeikomboa Shinyanga Kielimu na Kiafya?

Bururu

JF-Expert Member
May 21, 2016
877
583
Naomba kujua wanajamvi huyu kiongozi aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga yuko wapi?

Ni mtendaji na mtumishi wa kuaminika, kila mkazi wa Shinyanga anamkubali sana, hakupenda masikini waonewe, hakupendelea chama cha siasa, alinyanyua elimu ya mkoa wa Shinyanga kwa kiwango cha juu sana, wilaya ya Bariadi ambayo kwa sasa iko mkoa wa Simiyu ilipata mwakilisha wa kweli, ameitetea na kuijenga.

Ila kwa sababu hakuwa mpokea rushwa ikawa kero kwa viongozi wenzake hasa wa ngazi za juu yake, kila alikofanyakazi ameacha heshima ya njuu, iweje mtu kama uyu anafichwa? Serikari au vyama vya siasa mtafuteni kiongozi wa kweli.
 
Mkoa wa shinyanga mimi huwa naogopa sana kuuzungumzia na hasa mambo haya ya wakuu wa mikoa, labda tuzungumzie wabunge wa same
 
Naomba kujua wanajamvi huyu kiongozi aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga yuko wapi?

Ni mtendaji na mtumishi wa kuaminika, kila mkazi wa Shinyanga anamkubali sana, hakupenda masikini waonewe, hakupendelea chama cha siasa, alinyanyua elimu ya mkoa wa Shinyanga kwa kiwango cha juu sana, wilaya ya Bariadi ambayo kwa sasa iko mkoa wa Simiyu ilipata mwakilisha wa kweli, ameitetea na kuijenga.

Ila kwa sababu hakuwa mpokea rushwa ikawa kero kwa viongozi wenzake hasa wa ngazi za juu yake, kila alikofanyakazi ameacha heshima ya njuu, iweje mtu kama uyu anafichwa? Serikari au vyama vya siasa mtafuteni kiongozi wa kweli.
Huyu Mzee hata mimi namkubali Mkuu. Yaani kwanza ni mwadilifu wa kiwango cha juu sana. Hawa ndo sumpuli ya watu wanaofaa kufanya kazi hawamu hii ya tano. Yuko serious na kazi na anaijua kazi yake.
 
Umri atakuwa amestaafu anapumzika! A nyumba Dar....nadhani amepumzika anakul pension
 
Huyu Mzee hata mimi namkubali Mkuu. Yaani kwanza ni mwadilifu wa kiwango cha juu sana. Hawa ndo sumpuli ya watu wanaofaa kufanya kazi hawamu hii ya tano. Yuko serious na kazi na anaijua kazi yake.
kwani awamu hii ni awamu ya waadilifu???uadilifu wa magufuli upo wapi au katika kusigina demokrasia na katiba aliyoapa kuilinda??
 
Sahv kashastaff na n part time lecture hubert kairuki memorial univetsity OBGY
 
Huyu Mzee hata mimi namkubali Mkuu. Yaani kwanza ni mwadilifu wa kiwango cha juu sana. Hawa ndo sumpuli ya watu wanaofaa kufanya kazi hawamu hii ya tano. Yuko serious na kazi na anaijua kazi yake.
Atafutwe kama bado ana uwezo apewe Mkoa Sugu ili aweze kuwakwamua!
 
Si kweli hayo ni maneno ya kampeni tu!Ni mtu mwenye upendeleo sana wa ndugu zake wanyantuzu!Mkoa wa Shinyanga unahitaji kijana kama Makonda.Mbunifu na mfuatiliaji.Hata hivyo ni LAZIMA awe mcha Mungu sana ama mchawi!Nasisitiza ni lazima awe na" moto ama baridi" kama ni vugu vugu tu hapa Shy kuna wafanyakazi wa serikali wataalamu wa kamati za ufundi atapigwa uzezeta anaishia kuwachekea tu kama shemeji zake!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom