Dr. Shika ameishia wapi maana toka Lissu apigwe risasi amepotezewa na sijui madada waligundua kuwa mabilion hayapo. Dr. popote ulipo ebu jitokeze uitishe press conference na utangaze kugombea urais 2020.
Dr. Shika ameishia wapi maana toka Lissu apigwe risasi amepotezewa na sijui madada waligundua kuwa mabilion hayapo. Dr. popote ulipo ebu jitokeze uitishe press conference na utangaze kugombea urais 2020.
hawa watu design ya shika na akina titto hii huwa ni mikakati ya serikali na matajiri wakubwa nchini kwa ajili ya kutake advantage ya matukio yanayotokea ova