Nikiwa kama Mwanahistoria nguli! Huwa nikikumbuka Madikteta wakubwa waliowahi kuisumbua dunia kama akina Adolf Hitler, Benito Musolini, Fransisco Franco, Hideki Tojo, Iddi Amini Dada, na wengineo wengi ambao kwa sasa wamebakia tu kuwa mifupa! Huwa ninapata nguvu na matumaini ya kwamba; hata haya nayo yatapita..