Yuko wapi Agustine Lyatonga Mrema?

Wana Jf Kama kuna mwenye taarifa zozote za karibuni kumhusu Mwenyekiti wa TLP ambye pia na Mbunge wa Vunjo atujuze Mh.Agustine Lyatonga Mrema.
Amekuwa msanii siku hizi,juzi juzi alikuwa Vunjo anasimamia mashindano ya mpira lol
 
hv huwa anaumwa nini mrema? Kuna mtu anapicha yake enzi zile za 1995? Plz attach nimuone coz that tym nilikua katoto sana
 
huyu mzee kachoka kwelikweli anaonekana anaumwa ugonjwa wa maisha magumu wampe mafao yake yote akawahi maisha ya milele huko kirarachi.
 
mzee yuko fiti nilimuona akila parachichi na ndizi ya kuchoma pale marangu mtoni kavaa dont touch na santana
 
Unafiki wake ndiyo umemfanya apotee kisiasa,maana ni mtetezi mkubwa wa kikwete pamoja na serikali ya ccm.
 
anakula mafao kotekote yan bungen, kwenye chama coz yeye ndio chair man na mafao mengine ni naibu waziri mkuu mstaaf
 
Mrema ana historia ya kutukuka kuliko hata huyo aliyemteua akitoweka watamsahau haraka lakini Lyatonga Historia yake inasimama, hata Nyerere mwenyewe alimkubali, Lyatonga tunakutegemea sana kwenye Bunge la Katiba.
 
Yuko chalinze, wazee mwisho ............
 
Yupo bungeni kwenye bunge la katiba.Anachukua 300,000 yake kwa siku.
 
Mrema yuko wapi jamani .Mzee wa kiraracha sijamwona hata kuomboleza kifo cha Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…