chademaistheway
Senior Member
- Aug 18, 2010
- 100
- 86
Ananilea Nkya nilimpenda kwa kweli, hasa vile meno yake yalivyopandana
Niliona mara ya mwisho anapigia propaganda Iran.
Ana asili ya huko?
Hivi huyu mwanamama kapotelea wapi?
Au ndio amepotea kama endangered species (waandishi wa habari makini wachache Tanzania) ambao hatujui hupotea tuuu from the radar.
Nakumbuka huyu mama mara ya mwisho alikuwa mwenyekiti wa Tanzania Editors Forum (jukwa la wahariri) mi nadhani huyu alianza kusoma alama za nyakati mapema akaaamua anusuru kucha zake... mtazamo binafsi
combination ya Sakina Datoo, Ananilea Nkya, Helen Kijo Bisimba na Usu Malya ni kama Man City au Barcelona
Nakumbuka huyu mama mara ya mwisho alikuwa mwenyekiti wa Tanzania Editors Forum (jukwa la wahariri) mi nadhani huyu alianza kusoma alama za nyakati mapema akaaamua anusuru kucha zake... mtazamo binafsi
combination ya Sakina Datoo, Ananilea Nkya, Helen Kijo Bisimba na Usu Malya ni kama Man City au Barcelona
Umemsahau UFOO SARO
taratibu, mke wa mtu yule.