Yu wapi mama Janeth Magufuli?

Ni takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Haujui kuwa shule ndiyokwanza zimefungua! Nenda darasani kwake utamkuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…