The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 596
Wakuu wa JF,
Naulizia tu kwa kujikumbusha historia ya siasa ya Zanzibar kidogo. Yu wapi Bi Naila Jidawi ? Bi mkubwa mwenye makeke sana katika harakati za chama cha CUF kule visiwani Zanzibar
Naomba tu kuweka kumbukumbu sawa kwa kusema mie nlianza kumfahamu huyu Bi mkubwa miaka ya 1994 nlipokuwa Mgambo Jkt kwa kupitia luninga ya TV ZANZINAR yaani TVZ channel kule Mgambo tulifunga antena ndefu sanaa
Sasa huyo Bi mkubwa Naila Jidawi kipindi kile ndio ugomvi wake na Maalim Seif uko juu sanaa , Nnachokumbuka ni kuwa Maalim Seif hakuthamini hata kidogo mchango wa Bi mkubwa huuyoo ambae alitoa nyumba yake kuifanya ofisi na mwisho wa siku Maalim Seif akamfukuza kwenye chama....
Wadau wenye kumbukumbu zaidi, hebu fungukeni zaidi....
Huyu Bi mkubwa ndio anafaa kuwa Rais wa kike ajaye kwa Zanzibar na huku bara tukiwa na Makinda yetu....
Naulizia tu kwa kujikumbusha historia ya siasa ya Zanzibar kidogo. Yu wapi Bi Naila Jidawi ? Bi mkubwa mwenye makeke sana katika harakati za chama cha CUF kule visiwani Zanzibar
Naomba tu kuweka kumbukumbu sawa kwa kusema mie nlianza kumfahamu huyu Bi mkubwa miaka ya 1994 nlipokuwa Mgambo Jkt kwa kupitia luninga ya TV ZANZINAR yaani TVZ channel kule Mgambo tulifunga antena ndefu sanaa
Sasa huyo Bi mkubwa Naila Jidawi kipindi kile ndio ugomvi wake na Maalim Seif uko juu sanaa , Nnachokumbuka ni kuwa Maalim Seif hakuthamini hata kidogo mchango wa Bi mkubwa huuyoo ambae alitoa nyumba yake kuifanya ofisi na mwisho wa siku Maalim Seif akamfukuza kwenye chama....
Wadau wenye kumbukumbu zaidi, hebu fungukeni zaidi....
Huyu Bi mkubwa ndio anafaa kuwa Rais wa kike ajaye kwa Zanzibar na huku bara tukiwa na Makinda yetu....