Ndio...ni kwa sababu za kisiasa..vipi bado hautumii VPN mkuu?.kama bado download proton VPN then install kwa simu yako..ni bure..baada ya hapo YouTube kama kawa
Muda huu mtandao wa YouTube hauwezi kutumia ipo chini sana.lakini unaweza kuangalia sites nyingine bila tatizo lolote na network ipo very strong. Je tatizo ni nini? Ni sababu za kisiasa tusiangalia habari za Tundu Lissu?
Muda huu mtandao wa YouTube hauwezi kutumia ipo chini sana.lakini unaweza kuangalia sites nyingine bila tatizo lolote na network ipo very strong. Je tatizo ni nini? Ni sababu za kisiasa tusiangalia habari za Tundu Lissu?