Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 623
- 1,320
Umejaribu kwako ikafanya kazi, Au umekurupuka kujibuzima data washa tena
Kweli hata FB naona imefungiwaKila social media hadi Fb
basi subiria pole pole amalize kuongeaUmejaribu kwako ikafanya kazi, Au umekurupuka kujibu
Kama Polepole alitegemea atatoa Press kiulaini amechemsha sana.inaonekana intelejensia yake iko very poor na maandalizi duni.Nimejaribu zaidi ya lisaa lizima kuingia YouTube ila inagoma. Baada ya kuwasha VPN mambo yanafanya kazi.
Mwezi mmoja kabla niliona trend videos za YouTube kama zipo tofauti na kawaida. Sijui ni YouTube wenyewe wanapokea hela kuzima baadhi ya content zisionekane kwenye trend, kama vile wanavyopokea hela kutoka Human Right kutrendisha videos za Gays/Lesbian
Kweli Siasa ni Ushetani!!
Sasa wasanii wao watafanyaje kazi 😅Kila social media hadi Fb
Kwa kauli ya kuvimbiwasi msubiri amalize ndo muwashe, kiherehere tu
wafungie na VPN, whatsapp na simu.Nimejaribu zaidi ya lisaa lizima kuingia YouTube ila inagoma. Baada ya kuwasha VPN mambo yanafanya kazi.
Mwezi mmoja kabla niliona trend videos za YouTube kama zipo tofauti na kawaida. Sijui ni YouTube wenyewe wanapokea hela kuzima baadhi ya content zisionekane kwenye trend, kama vile wanavyopokea hela kutoka Human Right kutrendisha videos za Gays/Lesbian
Kweli Siasa ni Ushetani!!
Kwani nyie mko nchi ganiii maana me kwangu zinafungukaNimejaribu zaidi ya lisaa lizima kuingia YouTube ila inagoma. Baada ya kuwasha VPN mambo yanafanya kazi.
Mwezi mmoja kabla niliona trend videos za YouTube kama zipo tofauti na kawaida. Sijui ni YouTube wenyewe wanapokea hela kuzima baadhi ya content zisionekane kwenye trend, kama vile wanavyopokea hela kutoka Human Right kutrendisha videos za Gays/Lesbian
Kweli Siasa ni Ushetani!!