Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Mpendwa Yamour Baada ya heshima na Taadhima, Niwe na Furaha kukujuza kuwa Neno Mujahidin linatokana na neon Jitihada/Kujitahidi (struggle/survival) katika jambo lolote, iwe masomo, Kazi,ufundi,utafiti,ukulima,mchezo,nk,nk (yaani struggling to gain position/something) ili ufanikiwe maishani inakubidi ujitahidi ndipo waitwa Mujahidi!! Na siyo kama wanavyo tafsiri walimwengu "(akutukanie hakuchaagulii tusi) " So hata mwenye kuishi katika kambi ya ukimbizi utakuta anajitahidi ili ajigomboe ktk hali na mali !! Nahilo siyo kitu cha kupewa kwa urahisi. Haswa ukisuhudia aFalestina wengi wapo ndani ya Occupied lands au camps....!! Karibuni waaungwa kawa suali au maelezo au INFO 2013 BIGURUBE lyinga incharge Gama,Chuma cha reli, utafiti, mbwewe, lukubuzo SamsisMujahidin maana ake nin!?, hemu nifahamishe umeniacha
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.... Ushukuriwe na Ubarikiwe....Takbiriiiiii......
Mpendwa Yamour Baada ya heshima na Taadhima, Niwe na Furaha kukujuza kuwa Neno Mujahidin linatokana na neon Jitihada/Kujitahidi (struggle/survival) katika jambo lolote, iwe masomo, Kazi,ufundi,utafiti,ukulima,mchezo,nk,nk (yaani struggling to gain position/something) ili ufanikiwe maishani inakubidi ujitahidi ndipo waitwa Mujahidi!! Na siyo kama wanavyo tafsiri walimwengu "(akutukanie hakuchaagulii tusi) " So hata mwenye kuishi katika kambi ya ukimbizi utakuta anajitahidi ili ajigomboe ktk hali na mali !! Nahilo siyo kitu cha kupewa kwa urahisi. Haswa ukisuhudia aFalestina wengi wapo ndani ya Occupied lands au camps....!! Karibuni waaungwa kawa suali au maelezo au INFO 2013 BIGURUBE lyinga incharge Gama,Chuma cha reli, utafiti, mbwewe, lukubuzo Samsis
The saga continue...between Abrahamic ppl
Gt
Mkuu Hii haitoshi. Tofautisha kati ya "Real" na "Ideal".
Ideal:Ni kwamba mwislamu hatakiwi kushiriki mambo ya kidunia.
........
Bottom line ni kuwa;...
Mwanamke anatakiwa kumlea mumewe hatakiwi kufanya kazi wala kusoma. Na hi ndio "ideal" lakini "reality" wako wanawake wanafanya kazi(transgressors).
Uislamu na Elimu mbalimbali. Kama pua na moshi. Kama sivyo, mtume angekuwa wakwanza kwenda shule kusoma.
......
Kenya alikuwepo kijana ana miaka 13 alikuwa ashamaliza Chuo kikuu.
Alikuwa anaiwa "Bethuel Mbugua." Ashawahi kuja bongo miaka ya 90s kama kuna wenye kumbukumbu watamkumbuka huyu kijana.alikuja kuomba msaada aende kusoma marekani.
Wataalam wanasema ukiwa na akili nyingi kuliko ,ordinary people pia ni utahahira isipokuwaa upo kwenye positive side.
Ukiwa na chache pi ni tahahira in negative side...
U-jiniaz wa akina Albert Einstein na Newton sio wa ku-kremu ideas za wasomi waliotangulia. Ikumbukwe hata Newton aliwahi feli shuleni. Lakini hapo baadae alikuja kutajwa kama jiniaz. So U-jiniaz wa watu unatokana na ku-ceptualize na ku-invent vitu vipya vinavyosaidia jamii. Sio kujua kukariri na kutokusahau ulichoweka kichwani.
Elimu ni pale inapoleta Tija kwenye jamii. Kwahiyo mambo ya kwenda kwa waganga upate uwezo wa kufaulu mitihani wakati Elimu haikusaidii ni bogus.
Mwisho wa siku, Jamii itauliza umegundua nini?watakosa LA kukutetea.
Haiwezekani asiye msomi kuanzisha Taasisi ya kisomi.Kuanzisha chuo haimaanishi kuwa alikuwa msomi,